GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Za uhakika kabisa ni kwamba hayuko Kambini na Simu Kawazimieni. Mtawaficha Wengine Habari zenu za Ndani Avic Town Kigamboni ila siyo Mimi GENTAMYCINE The King.
Kwahiyo mliwaona Simba SC hawana Akili Kumuacha na mkamsajili kwa Mihemko huku mkimtuma atutukane, atukashifu na aibusu Jezi yenu?
Nendeni Maskani zake Tatu pale Tandale kwa Dulla au Kawe kwa Pazi au Kinondoni Biafra katika Baa ya Mama yake ambaye Yeye ndiyo kamfungulia hamtomkosa sawa?
Hamna Akili...!!
Kwahiyo mliwaona Simba SC hawana Akili Kumuacha na mkamsajili kwa Mihemko huku mkimtuma atutukane, atukashifu na aibusu Jezi yenu?
Nendeni Maskani zake Tatu pale Tandale kwa Dulla au Kawe kwa Pazi au Kinondoni Biafra katika Baa ya Mama yake ambaye Yeye ndiyo kamfungulia hamtomkosa sawa?
Hamna Akili...!!