GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ni Mpuuzi Mmoja so called igo Sirii Andakava kutoka Upelezi wa ndani ndio ameleta shobo kwa makamanda huyo dogo aliyepona ilitakiwa akate MOTO ili iwe fundisho kwa vijana wengine kutumwa na WAPUUZI kwa maslahi yao kisiasa.Nilipoona tu Umati ule umeachiwa huru 'Kutawala' na 'Kujimwambafai' katika Mapokezi yake pale Kiwalani International Airport na Watu ambao siku zote huwa ni 'Maadui' zao na pia nilipoona tu bado wameendelea 'Kunyamaziwa' katika 'Kuagwa' kwa 'Mwamba wa Kimawakuwa' pale Freedom National Stadium nilijua tu kuwa kuna Maandalizi 'Kabambe' ya 'Kuwamaliza' na 'Kuwakomoa' yalikuwa yanakuja na tayari yameshaanza.
Kama hivi tu Timu bado inapasha Moto Viungo vyake kujiandaa na Mechi imeshaanza 'Kukomolewa' je, vipi Mechi ikianza rasmi Wiki kadhaa zijazo?
Jino kwa jino should be the style,kwani nani hana roho?
Upo sahihi kabisa mkuu, habari za ndiyo mzee tuziwache sasaJino kwa jino should be the style,kwani nani hana roho?
Anawajambisha sasaMWAMBA WA MAVUMBI
Mkuu kwani kuna nini huko kimetokea?
IngependezaNi Mpuuzi Mmoja so called igo Sirii Andakava kutoka Upelezi wa ndani ndio ameleta shobo kwa makamanda huyo dogo aliyepona ilitakiwa akate MOTO ili iwe fundisho kwa vijana wengine kutumwa na WAPUUZI kwa maslahi yao kisiasa.
Kwahiyo unafurahia hizo rafu za kisiaa?
Ikifika muda ndiyo utaamua kwani hakuna aliyezaliwa kuteswa kila kukicha.Hii Jino kwa Jino yako wanayoiweza ni wale 'Waarabu' tu pekee na 'Wapalestina' na kidogo hawa 'Wapemba', ila huku Bara 'usijidanganye' kabisa.
Maneno yako wakati mara nyingi huwa kama yalivyotoka kwako. Hata mwezi haujaisha kila ulichosema kiko wazi sasa. Ila sijui sababu ya ukatili huu ni ipi?Nilipoona tu Umati ule umeachiwa huru 'Kutawala' na 'Kujimwambafai' katika Mapokezi yake pale Kiwalani International Airport na Watu ambao siku zote huwa ni 'Maadui' zao na pia nilipoona tu bado wameendelea 'Kunyamaziwa' katika 'Kuagwa' kwa 'Mwamba wa Kimawakuwa' pale Freedom National Stadium nilijua tu kuwa kuna Maandalizi 'Kabambe' ya 'Kuwamaliza' na 'Kuwakomoa' yalikuwa yanakuja na tayari yameshaanza.
Kama hivi tu Timu bado inapasha Moto Viungo vyake kujiandaa na Mechi imeshaanza 'Kukomolewa' je, vipi Mechi ikianza rasmi Wiki kadhaa zijazo?
Hilo wazo nimemuona Mhe nape nnauye akiliwekea msisitizo lifanyike kwa weredi.Jino kwa jino should be the style,kwani nani hana roho?