Mlitudharau na Kutupuuza sana pale tuliposhauri kwa nia njema tu kuwa 'Mwamba' asirejee sasa nchini Tanzania

hii mechi kali asiye na mwana abebe jiwe

Nilipomuona tu Mkuu Wao ambaye ni Poti ( Mwetu ) wangu kabisa wa 'Kizanaki' anatoa 'ONYO' kupitia ITV nilijua tu kuwa kuna Watu watamkoma.
 
Wenye ugonjwa wa "uKondoo wa Nyerere" bado tupo wengi, hata tukikanyagwa tunashangilia, likimpata jirani yangu nasema hilo ni lake. Ukisema mfalme kakaa uchi tunakuambia wewe ni mtukanaji na mchochezi. Ukiandamana tunasema unafanya vurugu. Ukiikosoa serikali tunakuita msaliti.

Upinzani ukipigwa dafrau tunasema hao watukutu ni stahiki yao. Neno haki hatulitamki tujualo ni neno amani lazima ilindwe kwa nguvu zote. Wengi wetu humu JF tunaugua ugonjwa huo-tukisha piga kelele tunalala, ingawa kupiga kelele ni dalili ya kwanza kuanza kupona ugonjwa huo.

Tukipata viongozi mkakati na kwenda nao sambamba huu ugonjwa waweza pona hata kama sio mara moja. Hata hivyo hakuna ajuae kesho yake.
 
Ikifika muda ndiyo utaamua kwani hakuna aliyezaliwa kuteswa kila kukicha.

Na ogopa sana siku bubu akijifunza kuongea

Na mpaka huyo Bubu ajifunze na aweze Kuongea huenda anaweza akawa 'ameshajeruhiwa' kiasi kwamba akiongea tu atakuwa ndiyo anakufa pia.
 
Maneno yako wakati mara nyingi huwa kama yalivyotoka kwako. Hata mwezi haujaisha kila ulichosema kiko wazi sasa. Ila sijui sababu ya ukatili huu ni ipi?

Mkuu kuna Watu wengine kwa Macho ya kawaida tunaweza 'Kudharaulika' na 'Kupuuzwa' ila tuna 'Ubarikio' mkubwa wa 'Kimaono' wa Mungu Baba.
 
Mwamba ana damu ya wakenya wakenya sio waoga baada ya kutolewa ile ya kitz kupitia matibabu,Kwa kupigwa kwake nasi tutapona
 

Siku zingine 'Mnaotudharau' na 'Kutupuuza' akina GENTAMYCINE tukiwa 'tunawashaurini' mambo muwe mnayazingatia na Kutuelewa upesi sana tu.
 
Naona ntarahamwe washaanza rafu za uchaguzi safari hii tupinge hakuna damu ya mtza yeyete itakayomwagika wamezoea sana kila kunapo uchaguzi lzm wamwage damu za ndugu zetu
 
Huo muda utafika lini? Acha umama,wakati wa respond back ni sasa

Kizazi cha Kujibu Mapigo kwa sasa bado hakijazaliwa Tanzania labda baada ya miaka 50 ijayo, ila labda hayo Mapigo yao wayajibie Mitandaoni tu.
 
Hawa wenye serikali wataleta machafuko1

Kama hapo Hai wange retaliate leo,kuna watu wangekufa...guess who will be blamed?

Kuna majitu mazima yana mvi yanafanya mchezo na maisha ya watu.....mapunguani kabisa yaani!
 
mwamba ana damu ya wakenya wakenya sio waoga baada ya kutolewa ile ya kitz kupitia matibabu,Kwa kupigwa kwake nasi tutapona

Kisaikolojia tu kwa Kilichomtokea 'Mwamba' kwa sasa hana cha Kupoteza hata 'Akifa' ila kwa 'Wafuasi' najua wengi Wao bado wanapenda Kuishi tu.
 
Kisaikolojia tu kwa Kilichomtokea 'Mwamba' kwa sasa hana cha Kupoteza hata 'Akifa' ila kwa 'Wafuasi' najua wengi Wao bado wanapenda Kuishi tu.
heri kufa katika haki kuliko kufa katika dhambi,kukaa kimya maouvu yakishamili ni dhambi mbaya sana
 
Hiyo ndo njia pekee ya kumaliza huu ujinga

Kwa nia njema tu naendelea Kuwaomba huku tena nikiwasisitiza kabisa kuwa kilichopo chini ya Sahani ambako ndiko kuna Nyama msije Kuthubutu.
 
Naona ntarahamwe washaanza rafu za uchaguzi safari hii tupinge hakuna damu ya mtza yeyete itakayomwagika wamezoea sana kila kunapo uchaguzi lzm wamwage damu za ndugu zetu

Kuna tofauti kubwa sana kati ya 'Kujimwambafai' hapa Mtandaoni / Mitandaoni na Kujitokeza kabisa 'Front' ili utuonyeshe mfano wako wa Kiubabe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…