Mliweza vipi kuoa?

Ukitaka kuoa, hutakiwi kufikiria sana na kuchunguza kila kitu. Hakuna ambae utamkuta yupo perfect ili mradi tu amezaliwa na mwanamke. Anaweza kuwa na historia nzuri akabadilika baadae ukiwa upo nae mikononi mwako.
Changamoto zipo tu, mtoto wa kiume hutakiwi kuogopa changamoto.

Muombe Mungu, tafuta mke owa. Kwa mwanaume hutakiwi kulalamika sababu wewe ndo muoaji unaenda kutoa mahari upewe mke. Maamuzi yapo kwako tofauti na mwanamke.

Kama unataka kuoa, basi oa.
 
Madhara ya kutembea na wanawake wengi yanakuharibu akili kisaikolojia huoni umuhimu wa kuoa. Ladha za wanawake wote unazijua, mambo yote unayajua na hata ukiwa na hamu unaweza kuziondoa bila kuumiza kichwa.

Hapo huwezi kuona umuhimu wa ndoa, mpaka umri ukishaenda ndo unakuja kugundua kwamba mwanaume kamili lazima uwe na mke.
 
Unajihesabia haki sana, ni bora ukabaki mwenyewe kwa usalama wa ego yako.

2023 tulikubaliana kuoa si lazima.
 
Endelea kupack basi,sie tulijitoa collisions zilikuwa ni nyingi hatimaye tumekaa level,gari limeweka.Ukiwa na vigezo vingi huwezi oa otherwise ulitembea na samples kama zote
 
sio kweli , ni maisha yangu , nataka kufanya vitu sahii . na kuwa sahii nikuwa na information sahii
Basi jifunze kwanza kuandika kwa usahihi then ndio ujaribu kujitafakari kama akili za ndoa uko nazo.
 
na mpango , ila i want to be logical ?? kuna vitu sielewi may be am looking on the wrong things ,
Ndoa si kwa kila mtu, kwa mtazamo huo ulionao unatakiwa kukaa nayo mbali maana haitakuwa rafiki kwako.
Na ukishaingia kwenye ndoa utakutana na mambo ya ajabu zaidi ya hayo unayojiuliza hapo juu.
 
Na aelewe hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…