Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Bado chupa ipo na chai yake.😌 umeamka vibaya leo sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado chupa ipo na chai yake.😌 umeamka vibaya leo sio
Nialike wanyama sioBora usialike watu.Unaonesha utaanza kutupa masharti kwenye mlo kama mshauri wa rais.
South West Algeria.
Kilopo cha chai ikoBado chupa ipo na chai yake.
Imekaa pSouth West Algeria.
"Mumuache" japo ni sahihi ila si lahaja rasmi ya kiswahili , lahaja rasmi ni "mwacheni"🤣🤣Hatari sana.Mumuache ajitafute.Kuoa siyo mchezo.Unaanza kuishi tu na mtu mwenye magego yamekomaa.
1-Mumuache."Mumuache" japo ni sahihi ila si lahaja rasmi ya kiswahili , lahaja rasmi ni "mwacheni"🤣🤣
Muacheni✅️1-Mumuache.
2-Mumwache.
3-Muacheni.
4-Mumuhache.
5-Muhacheni.
Chagua moja inayokidhi viwango kufuzu robo fainali usibaki makundi na kufurushwa.
Umefuzu kwenda robo fainali.Wazomee utopolo kwa sauti.Muacheni✅️
Mwacheni✅️
Mumuache✅️
Kama zilivyopangiliwa mkuu.
Karibu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nmerudi kwenye picha ya supu, nmechekaaa🤣🤣🤣 bro upo seriousAsante Mwachiluwi ,sema yule nzi kwenye picha ya supu ni vitamin 😋
Lakini mi na bro Evelyn Salt tukija usituwekee hatutumiagi
Kijana aoe tu asee .🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nmerudi kwenye picha ya supu, nmechekaaa🤣🤣🤣 bro upo serious
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nmerudi kwenye picha ya supu, nmechekaaa🤣🤣🤣 bro upo serious
Ahahha sio mdudu bhna 😂Asante Mwachiluwi ,sema yule nzi kwenye picha ya supu ni vitamin 😋
Lakini mi na bro Evelyn Salt tukija usituwekee hatutumiagi
Weka nambaInstant noodles buku tu.
Walev utawajua tuMchawi pilipili tu hapo.
Ungeweka na kitunguu ladha inakuwa bomba zaidi.Watu wambeya utawajua tu 😂