Mkuu,Mkuu,
Mungu yupo makanisa yote, hata huko alipo yupo. Sasa ulazima wa kwenda anakosali dada ni upi? Au kuna lingine zaidi ya kusali? Akijitokeza dada mwingine wa dhehebu tofauti nako aende?? Akijitokeza mwingine na mwingine aende kote huko?? Ya nini kuhangaika huku na kule? Atulie ktk kanisa lake, na wokovu ni matendo, sio kusema tu NIMEOKOKA. Mtu anaokoka kutokana na matendo yake, na sio dhehebu lake. Hivyo hata wakatoliki wanaokoka thru matendo yao.
Kwa kumalizia nasisitiza jamaa abaki anakosali, kusoma bible, wokovu, n.k vyote atafanya akiwa RC.
Niliposema aende pia kanisani kwa dada basi ni kutokana na kujuwa kuwa Mungu yupo makanisa yote. Pia ni katika kupanua wigo na kujenga mapenzi katika jina la bwana. Huko hukuiti "kuhangaika". bali ni kuitika wito.
kama ataweza kwenda makanisa 100 basi aende tu hata kama hatakaribishwa na akina dada. ndio katika kujenga umoja na mapenzi huko.