Hakuna kituo!!! sijaelewa.
Hyo ni kweli mkuu watu wanadanganyika na picha za kwenye movies na matangazo mbalimbali kwa hyo wanafikiri wahindi wote ni wazuri.Hiyo ndio record ya dunia ilivyo mamangu, hao wahindi wengi tunawaona kwenye movies wametafutwa wale ambao wako afadhali tu lakini wengi wana sura, maumbo na harufu mbayaa.
Mie nimekaa India, yaani hata kwa mangumi siwezi kuoa muhindi aisee, never!!!
Hivi chura huwa inasaidia nini?
Sio mlo peke yake bali na uvivu pia unachangia mtu kufumuka mwili.Wahindi hawajui kula vizuri ndo maana yanajaza matumbo tu...
Heheh!
Duh,yaani wanawake wa kihindi ndio wanawake waliojaaliwa sura nzuri kuliko wote juu ya uso wa dunia???
Kweli kila macho huona vya kwake...
Chura fahari ya macho bibie,si tumeambiwa tuoe katika wanawake tunao wapenda,na katika kuwapenda pia tunawaapendea chura,acha kabisa.
Ni kama chumvi kwenye mboga.
nasikia hata wale wa kwenye movies asilimia kubwa wamejiedit miili(yani baadhi wamefanya opereshen kurekebisha maungo yao). kwenye suala la uchafu pia nakuunga mkono, sehemu kubwa ya wahindi ni wachafu wachafu, nilisoma makala moja huko interior india ukitaka kuoa inatakiwa uonyeshe choo maana kule vyoo ni vya shida wengine wanajisaidia vichakani
Kwahiyo ni fahari ya macho tu? Hakuna faida nyingine?
Upo Nimekumiss
Hyo harufu ikoje au ni ile Kama ya mtu mwenye ngozi ya albinism?
Nipo karibu
Bro kam una nyota nzuri hamia kwa waarabu kwasababu waarabu hawana ule ubaguzi km wahindi na ni watu ambao ukiwafanyia wema wanaukumbuka miaka yote.Bravo maselaa,machalii na masistaa wa humu...
Niende kwenye mada
Katika watu waliotakiwa tuwe tumechanganya damu nao kisawasawa ni wahindi na wana miaka mingi tu hapa Tz ila cha ajabu idadi ya ndoa kati ya waafrika na wahindi ni chache mno ukinganisha na jamii nyingine mfano waarab
Ok sasa mlowahi kuwaoa,kudate au hata mahusiano na hawa wasichana hebu tiririkeni wakoje tuanze kujua mapema maana mzee wa totoz kuna mmoja nimemzimikia balaa nataka niingie kwake mzima mzima mtoto mashallah balaa...ila mlowahi kudate nao piteni hapa mtuambie wakoje