Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiarufu cha garric, masala na gingerWabaridi na wanakiarufu flani hivi cha asili kinabore kichizi
Soma weee soma kitabu Soma weee. Binadamu joto ni 37 wote duniani ikipungua au kuzidi ni mgonjwajBravo maselaa,machalii na masistaa wa humu...
Niende kwenye mada
Katika watu waliotakiwa tuwe tumechanganya damu nao kisawasawa ni wahindi na wana miaka mingi tu hapa Tz ila cha ajabu idadi ya ndoa kati ya waafrika na wahindi ni chache mno ukinganisha na jamii nyingine mfano waarab
Ok sasa mlowahi kuwaoa,kudate au hata mahusiano na hawa wasichana hebu tiririkeni wakoje tuanze kujua mapema maana mzee wa totoz kuna mmoja nimemzimikia balaa nataka niingie kwake mzima mzima mtoto mashallah balaa...ila mlowahi kudate nao piteni hapa mtuambie wakoje
Niliposema hujanielewa nilimaanisha na unaonekana unapoteza kumbukumbu kila nukta na unaleta nukta mpya kila ukijibiwa.Ndio maana nakusihi uwe unaelewa kwanza kabla ya kuhoji.
Niliposema tumeambiwa tuoe katika wale tunao wapenda huu ndio msingi,hapa hatujadili matokeo kwani hata wale ambao wameoa wanawake wasio kuwa na makalio ndoa zao zina matatizo vile vile.
Uliposema kwamba "kila ukiona makalio......" huu ufahamu ni ufahamu wako mbaya,ukirejea nukta yangu ya mwanzo kabisa na ungekuwa makini hii kauli usingeisema kwa sababu niliongelea suala la ndoa na kuoa mwanamke unae mpenda,kwahiyo hapa umetoa hoja hewa inayoashiria hukuelewa hoja yangu.
Huu mwendo umeshakuachabali sana japo nilianza na wewe taratibu tena kwa upole wa kupigiwa mfano mwisho ukaiacha njia ukaifata njia yako mwenyewe.
Sasa nakupa kazi tena urejee kule nilikoanzia kisha utaona wapi hujaelewa.
Unafaa kuwa jaji wa mashindano ya ulimbwende
Mwana kayumba sana...
Ile show ilikua ni uwakilishi wa ngozi nyeusi na wala sio personal kama alivyoichukulia yeye.
Angetuwalikisha tu kwa kula show na kitambi chake
Kwanza nilikuuliza makalio yana faida gani ukasema fahari ya macho nikakuuliza sababu ndo hiyo tu ukasema nafsi inafurahika
Kwani mimi nilipokuuliza hayo maswali wewe ulielewa nini hebu tuanzie hapo kwanza
Well said kakaBro kam una nyota nzuri hamia kwa waarabu kwasababu waarabu hawana ule ubaguzi km wahindi na ni watu ambao ukiwafanyia wema wanaukumbuka miaka yote.
Muhindi mbaguzi hata akiwa masikini bro.
Wenyewe kwa wenyewe wanabaguana sijui km ww utawaweza.
Na mpk mzazi akubali ww black umuoe muhindi ni miracle.
Ila mwarabu hata kwa msaafu unaoa mkuu
Ukioa Muhindi jiandae ndugu zake kukubagua
Bro wanapenda nyimbo za kwao waleee!!!!!Well said kaka
Mh broo kwenye uchafu hapo hao wahindi wa kusini nini ???!!!Wana wivu sana,wachafu. Baada ya shughuli hata hawajifuti. Jihadhari,ndugu zake wakijua umekula papuchi,wasiojulikana watakushughulikia.
Uko kama mimi...Ila mi napenda mwanamke awe na paja la maana sio chura.. wapo wa Singida mguu kama ndege crane ila tako kimefutuka kwa nyuma.
Njoo upanga wamejazana kibaoWadau tupeane connections maana Wahindi nao waonaga mimi ni mabibi tu, mabinti nawajua wa kwenye movie tu sijawahi waona,
yule mtoto Deepika Padukone daaah
From my Personal Expirience Ina leta munkari sio kidogo usione wengine wanawai kurudi kwenye Game after each round iyo ni moja wapo ya pushing factor...then ni moja ya ishara kuwa niko na "Toto"Hivi chura huwa inasaidia nini?
Kuna wale wa kina Carlos na Maria ClaraDunia nzima? mkuu unawaweka wapi wanawake wa america ya kusini na latin huko
Mmh hii ni "Sandwhich" towards e'm especially when they call us monkeyWhites are not human being, they are hybrid of human and demons
Bro pulling factor aisse yan sio ndogo ni kubwa.From my Personal Expirience Ina leta munkari sio kidogo usione wengine wanawai kurudi kwenye Game after each round iyo ni moja wapo ya pushing factor...then ni moja ya ishara kuwa niko na "Toto"
Mmh bro mm ni benadir.We lazima ni muarabu[emoji87]
Mkuu labda ulikaa mkoa mmoja ukatulia.Hiyo ndio record ya dunia ilivyo mamangu, hao wahindi wengi tunawaona kwenye movies wametafutwa wale ambao wako afadhali tu lakini wengi wana sura, maumbo na harufu mbayaa.
Mie nimekaa India, yaani hata kwa mangumi siwezi kuoa muhindi aisee, never!!!
Mkuu labda ulikaa mkoa mmoja ukatulia.
Ila bro unapozungumzia asili ya kihindi hakuna watu wazury km wale isipokuwa umaskini unawazonga kiukweli.
Embu siku katembee pale Shaban Robert pita shule ya Yemen uwakute bro.
Ni wazury kiukweli ila wakiwa kwao umaskin mwingi huwafanya washindwe kuwa vzury.
Lakn ukienda tena India brooo nakuomba ukafanye tafiti maeneo ya Gujarat,Delhi penyewe,Na south part of India naskiaga hiz sehem zinasifika kwa watoto wazuri.
Kwa mtazamo wangu maana mm nilosoma nao nilikua nawaona malaika wameshushwa mfano huyo wa chini alonichomesha maindi na kunilisha mavi kwa kijikoView attachment 1172569