Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

Mmh bro mm ni benadir.
Lakn hao watu nimeishi nao kwasababu ukoo wetu umechanganyika nao.
Nina ndugu yangu mnyamwez kaoa kwa msahafu tu tena mwarabu wa Yemen mzuri ukimwangalia tu unadinda kaka hawanaga hiyana wale.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] loooh jamaa anafaidi eeeh
 
From personal experience.... Sio watamu... Hawana joto.... Hawana shape... Wanachoka haraka ... Wana kaharufu fulani hivi hasa kwenye nywele.... Ila kinachowabeba ni rangi
Bora kubaki nyumbani,choice is yours
 
Uko sawa kabisa
Acheni uzushi papa zote zina harufu za kufanana zisiposafishwa vizuri... mimi huwa lazima niweke kidole na kunusa kupata stimu ya kile kiharufu... totoz za kijijini huwa ni tamu sana kwani wanaviharufu zaidi yaani ni bao tu
 
Mkuu wewe una Experience kubwa sana na hizi jinsia Ke .... nadhani una stahiki kupewa Nishani ya uzamivu sasa
From personal experience.... Sio watamu... Hawana joto.... Hawana shape... Wanachoka haraka ... Wana kaharufu fulani hivi hasa kwenye nywele.... Ila kinachowabeba ni rangi
 
NACHOJUA MIMI...WAHINDI WAKIVUTIWA NA KITU WANAKIABUDU...

YAANI KWAO CHOCHOTE NI MUNGU...
 
Kaeni mkijua Wahindi nao wana waganga wao wakihindi, wanapatikana upanga jamatin.
 
Wahindi wenye chura wapo aisee, tena wakutosha tu, chura mpka wanawazidi waafrica, nawashuhudia hapa nilipo acha kabisa! Japo sipendi taabia zao na harufu zao.
Mkuu kama kwako uzuri wa mwanamke ni chura basi sikushauri uwaoe hao ila kama kwako uzuri wa mwanamke ni sura basi hao ndo wanakufaa maana wahindi kama ni sura tu wengi wamejaaliwa

Hamna wanawake dunia hii wanaowafikia wanawake wa kihindi kwa uzuri wa sura na nywele za asili ila kwenye chura hapo nisiwe muongo hawana kitu na hapo ndipo ule msemo wa kuwa Mungu hakupi kila kitu unapokamilika but they are very beautiful mashaallah kama huyo hapo kwenye avatar yangu
 
Haya Mkuu
Wahindi wenye chura wapo aisee, tena wakutosha tu, chura mpka wanawazidi waafrica, nawashuhudia hapa nilipo acha kabisa! Japo sipendi taabia zao na harufu zao.
 
Acheni uzushi papa zote zina harufu za kufanana zisiposafishwa vizuri... mimi huwa lazima niweke kidole na kunusa kupata stimu ya kile kiharufu... totoz za kijijini huwa ni tamu sana kwani wanaviharufu zaidi yaani ni bao tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] salute kwako mkuu
 
Bravo maselaa,machalii na masistaa wa humu...

Niende kwenye mada

Katika watu waliotakiwa tuwe tumechanganya damu nao kisawasawa ni wahindi na wana miaka mingi tu hapa Tz ila cha ajabu idadi ya ndoa kati ya waafrika na wahindi ni chache mno ukinganisha na jamii nyingine mfano waarab

Ok sasa mlowahi kuwaoa,kudate au hata mahusiano na hawa wasichana hebu tiririkeni wakoje tuanze kujua mapema maana mzee wa totoz kuna mmoja nimemzimikia balaa nataka niingie kwake mzima mzima mtoto mashallah balaa...ila mlowahi kudate nao piteni hapa mtuambie wakoje
Mimi sijawahi kuishi India Ila nmeishi na jamii za wahindi wapakistan na waNepal. Ni watu wenye madharau. Ila uzuri wanao kuzidi hawa Dada zetu weusi. Ukweli utaendelea kubaki kuwa ukweli rangi zao pamoja na nywele ni uzuri Tosha. Hawa waafrica wanashindana kuvaa mawigi na kujichubua ili wameet standard za uzuri wa wazungu au wahindi. Hilo Kwa uzuri hakuna ubishi. Dada zetu blacks sasa imekuwa fashion kuvaa mawigi na kujichubua lengo aonekane nae ana ufanono na wazungu au Wasia
 
Kipindi kile cha kitafuta marafiki kwenye gazeti nikatuma namba Yangu kwenye gazeti la majira.

Mungu si Athumani jioni ya siku ambayo gazeti limetoka nikapigiwa simu na binti akajitambulisha anaitwa Shainur Sumra nikamuuliza ,wewe ni mwarabu akasema hapana Bali ni Muhindi aliyezaliwa Tanga na hata huko India hapajui.Na yeye alipoona jina langu akadhani Mimi ni mhindi ila nilipomwambia Mimi ni mbena tena wa Njombe huku.

Dah nikaona zali tukachati baadae tukaingia kwenye mahusiano bila kuonana huku nikivuta taswira ya mrembo amazing .

Siku ya kuonana sitoisahau maana tulikutana posta pale J.M.MALL kuna casino inaitwa Le grand . Nilitamani muda uende ili tuachane kila mtu aende zake maana mtoto wa kike ana kitambi hata Mzee Kilomoni wa Simba ana afadhali.

Alipoondoka tu nilimblock na sikumuhitaji mpaka Leo sijui alinichukuliaje lakini yeye alikuwa anapiga hesabu za ndoa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna vituko jamani
 
Hao watoto watamu sana! Asikwambie mtu, kwenye ukuaji wangu sikuwahi kabisa kuvutiwa na wanawake wa aina hiyo lakini nilipoanza masomo rasmi ya sekondari, mzee alinipeleka shule moja binafsi hapa jijini Dar nikaanza kidato cha kwanza rasmi... lakini maadili ya shule ile hayakumpendeza mzee wangu, aliona mabadiliko ya tabia kwangu mimi kijana wake hivyo basi nilipokuwa nakaribia kukamilisha mwaka niingie kidato kinachofuata mzee ikabidi ashauriane na Kaka yangu mmoja hivi mkubwa na ana familia yake pia alikuwa mtu wa dini sana! Kaka yangu akamshauri anipeleke shule ya seminari nikaanze tena kidato cha kwanza upya! Mwanzoni taarifa zile zilinivuruga sana maana nilikuwa nishajuana na wana kibao, bebez tele na matukio kama yote shuleni.


Basi kama mjuavyo wana jamvi, tembo hashindwi na mkonga... mzazi ni mzazi tu! Mzee jambo lake likatiki akanihamisha shule, Hohehahe nikaamia Islamic school fulani hapahapa jijini Dar... na hapo ndo nilipoanza kuwahusudu hawa wanawake wa rangi nyeupe... walikuwa tele kama kunguni, na mpaka namaliza ile shule sikuwahi kuwa penzini na mwanamke mweusi.


Advance nikaenda shule ingine ya seminary hapahapa jijini Dar iko maeneo ya upanga... huko naona ndo nilienda kukubuhu na hizi mbususu nyeupe. Kwahiyo namshauri mleta mada asikate tamaa! Tembelea mazingira yao utabahatika.
 
Back
Top Bottom