Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

From my Personal Expirience Ina leta munkari sio kidogo usione wengine wanawai kurudi kwenye Game after each round iyo ni moja wapo ya pushing factor...then ni moja ya ishara kuwa niko na "Toto"
Mwee Haya
 
Hiyo ndio record ya dunia ilivyo mamangu, hao wahindi wengi tunawaona kwenye movies wametafutwa wale ambao wako afadhali tu lakini wengi wana sura, maumbo na harufu mbayaa.

Mie nimekaa India, yaani hata kwa mangumi siwezi kuoa muhindi aisee, never!!!
Nakubaliana na wewe mkuu wengi ni wabovu tu..
 
Mkuu labda ulikaa mkoa mmoja ukatulia.
Ila bro unapozungumzia asili ya kihindi hakuna watu wazury km wale isipokuwa umaskini unawazonga kiukweli.
Embu siku katembee pale Shaban Robert pita shule ya Yemen uwakute bro.
Ni wazury kiukweli ila wakiwa kwao umaskin mwingi huwafanya washindwe kuwa vzury.
Lakn ukienda tena India brooo nakuomba ukafanye tafiti maeneo ya Gujarat,Delhi penyewe,Na south part of India naskiaga hiz sehem zinasifika kwa watoto wazuri.
Kwa mtazamo wangu maana mm nilosoma nao nilikua nawaona malaika wameshushwa mfano huyo wa chini alonichomesha maindi na kunilisha mavi kwa kijikoView attachment 1172569
Hahaha ilikuaje akakulisha mkuu?
 
Nimeishi Mumbai/Bombay, New Delhi na Tamil nardo.

Nawajua in and out. Na jambo la nyongeza kuhusu wahindi, ni washamba kupita maelezo.

Wahindi walokuwa afadhali kiduchu ni wale walopanda ndege tu yaani waishio nje ya India.
Ohoooo basi mkuu nimeshakueleuwa.
Kwahiyo wakiwa kwao hawa mafala washamba sana wasengerema hawa Halafu wakija huku wanajifanya matawi????!!!!!
Maana wahindi wa huku Dar upanga,kariakoo,Posta mtaa wa Indian street bro hawa hujikuta lulu kinyamma.
Ndio maana nikashangaa habari uliyonipa.
Tutafata nyendo zako twende huko ulipoenda siku moja.
 
Hahaha ilikuaje akakulisha mkuu?
Hahhhahhahahauhahahahahahahahha bro daaah nakumbuka nipo Advance level pale Yemen high school nilipo drop out school na kukimbilia college kwa ugumu wa PCB.
Huyu dada alinihangaisha sana yani kaninywesha chai sana mwishowe hakuna cha relationship wala friendship.
 
Mkuu kama kwako uzuri wa mwanamke ni chura basi sikushauri uwaoe hao ila kama kwako uzuri wa mwanamke ni sura basi hao ndo wanakufaa maana wahindi kama ni sura tu wengi wamejaaliwa

Hamna wanawake dunia hii wanaowafikia wanawake wa kihindi kwa uzuri wa sura na nywele za asili ila kwenye chura hapo nisiwe muongo hawana kitu na hapo ndipo ule msemo wa kuwa Mungu hakupi kila kitu unapokamilika but they are very beautiful mashaallah kama huyo hapo kwenye avatar yangu
Mbona ana macho kama paka mwitu ?
 
Ohoooo basi mkuu nimeshakueleuwa.
Kwahiyo wakiwa kwao hawa mafala washamba sana wasengerema hawa Halafu wakija huku wanajifanya matawi????!!!!!
Maana wahindi wa huku Dar upanga,kariakoo,Posta mtaa wa Indian street bro hawa hujikuta lulu kinyamma.
Ndio maana nikashangaa habari uliyonipa.
Tutafata nyendo zako twende huko ulipoenda siku moja.
Ila ajabu ilioje, wahindi walioko India ni tofauti kabisa na wahindi waishio nje ya India, wahindi wa india wengi wao wako wanyenyekevu mnoo na ni wakarimu sana.

Ila narudia tena; usiombe muhindi akuzidi chochote kazi utakuwa nayo, hata akikuzidi kuhesabu tu basi jiandae...

Wahindi wa hapa bongo huwa nawaangaliaaa halafu naishia kusema tu 'hiiii'
 
Kwahiyo tusichukulie poa nyumba ni Choo eeeh
Mkuu kama kwako uzuri wa mwanamke ni chura basi sikushauri uwaoe hao ila kama kwako uzuri wa mwanamke ni sura basi hao ndo wanakufaa maana wahindi kama ni sura tu wengi wamejaaliwa

Hamna wanawake dunia hii wanaowafikia wanawake wa kihindi kwa uzuri wa sura na nywele za asili ila kwenye chura hapo nisiwe muongo hawana kitu na hapo ndipo ule msemo wa kuwa Mungu hakupi kila kitu unapokamilika but they are very beautiful mashaallah kama huyo hapo kwenye avatar yangu
 
Ila ajabu ilioje, wahindi walioko India ni tofauti kabisa na wahindi waishio nje ya India, wahindi wa india wengi wao wako wanyenyekevu mnoo na ni wakarimu sana.

Ila narudia tena; usiombe muhindi akuzidi chochote kazi utakuwa nayo, hata akikuzidi kuhesabu tu basi jiandae...

Wahindi wa hapa bongo huwa nawaangaliaaa halafu naishia kusema tu 'hiiii'
Bro mm nawajuaga hawa jamaa.
Yani wana ile habit ya "superiority ".
Yani akikuzidi tu anataka kutukuzwa.
Mimi ndio wananichosha hapo ila bora hata waarabu mara elfu tisa tisini na tisa wana Ile kujichanganya na hawana majivuno.
We jiulize kwann hadi Temeke mikoroshini waarabu utawakuta hadi tandale???
Ila wahindi kwa kujitenga hawajambo wale jamaa.
Mfano mzuri muangalie mbunge wa Morogoro yule mh.Aboud alivyo mkarimu mpk watu awamu hii walimlazimisha akagombee ubunge ilhali alitaka aache hyo kaz.
Na muangalie manji ambaye alibahatika kuwa Diwani huko mbagala sijui hizo dharau.
Yani hawa jamaa sio kabbisa.
 
Back
Top Bottom