Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

kuna wahindi wana rangi nyeusi na sura ngumu.
wahindi wengi wanawake wana vitambi kwenye kukwichi kichi balance ni ngumu kuipata kutokana na kidume kuning'ia juu ya tumbo.
mpaka karne hii matumizi ya choo kwao ni shida kama unataka kuoa anza kujifunza kujisaidia vichakani.
 
Hivi kumbe macho na nafsi ni kitu kimoja? Oops
Bibie unaniangusha sasa. Nafsi hufurahika baada ya kitangulizi,kitangulizi kinaweza kuwa macho kwa kuona ukipendacho nafsi ikafurahika,hukaelewa nini ? Na nani amesema nafsi na macho ni kitu kimoja ?

Unatakiwa uwe unaelewa kwanza na kutafakari kilichoandikwa kisha ndio uhoji,kinyume chake utakuwa unahoji na kuuliza maswali ya uongo kama ulivyouliza,kwa ufupi hukuelewa nilichokiandika.

Lakini hakuna macho bila nafsi,hili unatakiwa kuliweka akilini.
 
We lazima ni muarabu[emoji87]
 
Sasa kama kila ukiona tako basi na nafsi inafurahika mbona kuna watu wameyaoa hayo matako wameyaweka ndani na wanayaona kila siku lakini nafsi zao hazina furaha?

Twende taratibu tu mwisho wa siku tutaona kati ya mimi na wewe ni nani ndo hajamuelewa mwenzake
 
Sasa kama kila ukiona tako basi na nafsi inafurahika mbona kuna watu wameyaoa hayo matako wameyaweka ndani na wanayaona kila siku lakini nafsi zao hazina furaha?
Niliposema hujanielewa nilimaanisha na unaonekana unapoteza kumbukumbu kila nukta na unaleta nukta mpya kila ukijibiwa.Ndio maana nakusihi uwe unaelewa kwanza kabla ya kuhoji.

Niliposema tumeambiwa tuoe katika wale tunao wapenda huu ndio msingi,hapa hatujadili matokeo kwani hata wale ambao wameoa wanawake wasio kuwa na makalio ndoa zao zina matatizo vile vile.

Uliposema kwamba "kila ukiona makalio......" huu ufahamu ni ufahamu wako mbaya,ukirejea nukta yangu ya mwanzo kabisa na ungekuwa makini hii kauli usingeisema kwa sababu niliongelea suala la ndoa na kuoa mwanamke unae mpenda,kwahiyo hapa umetoa hoja hewa inayoashiria hukuelewa hoja yangu.
Twende taratibu tu mwisho wa siku tutaona kati ya mimi na wewe ni nani ndo hajamuelewa mwenzake

Huu mwendo umeshakuachabali sana japo nilianza na wewe taratibu tena kwa upole wa kupigiwa mfano mwisho ukaiacha njia ukaifata njia yako mwenyewe.

Sasa nakupa kazi tena urejee kule nilikoanzia kisha utaona wapi hujaelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…