Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

Kuliko demu gabacholi afadhali nimchukue Mzungu wako more open zaidi magabacholi wana tabia za ajabu ajabu stupid tu kujiona wako special kumbe hawana lolote kwao ni maskini wa kutupa ndio maana wamezagaa na kujaa nchi za watu kama wanaija aka wapopo
 
Daaah hii imenikumbusha mbali miaka ya 2009 ndugu yangu alikuwa mpiga soka sana kwenye viwanja vya jimkana ndo akakutana na mtoto wa kidosi aisee baada ya wazazi wake kujua uwezi amini alipandishwa ndege ila waliendelea kuwa na mawasiliano hadi baadae ndo ivyo kupotezana mazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…