Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kipindi kile cha kitafuta marafiki kwenye gazeti nikatuma namba Yangu kwenye gazeti la majira.

Mungu si Athumani jioni ya siku ambayo gazeti limetoka nikapigiwa simu na binti akajitambulisha anaitwa Shainur Sumra nikamuuliza ,wewe ni mwarabu akasema hapana Bali ni Muhindi aliyezaliwa Tanga na hata huko India hapajui.Na yeye alipoona jina langu akadhani Mimi ni mhindi ila nilipomwambia Mimi ni mbena tena wa Njombe huku.

Dah nikaona zali tukachati baadae tukaingia kwenye mahusiano bila kuonana huku nikivuta taswira ya mrembo amazing .

Siku ya kuonana sitoisahau maana tulikutana posta pale J.M.MALL kuna casino inaitwa Le grand . Nilitamani muda uende ili tuachane kila mtu aende zake maana mtoto wa kike ana kitambi hata Mzee Kilomoni wa Simba ana afadhali.

Alipoondoka tu nilimblock na sikumuhitaji mpaka Leo sijui alinichukuliaje lakini yeye alikuwa anapiga hesabu za ndoa.
 
Watoto wa kihind wana figure ni kali balaa.Ila matumbo yao ndio jau siyapendi.Yananenepeana vibaya .Huwa yana vimba uswa wa nyonga juu ya kiuno.hasa akina mama watu wazima wako hivyo
 
Mie nimetafuna demi wa kihindi na nimrkula papuchi ya kiarabu pia..

Jamii hizi ni watu wabaguzi kweli kweli!!

Ngozi zao zimepoa kama huyu mwarabu ndio ilikuwa kabisa, ngozi barid kimtindo, ila uwongo mbaya alikuwa ni mtamu kuliko muhindi, kimahaba mtoto wa kiarabu alimzidi wa kihindi.
 
From personal experience.... Sio watamu... Hawana joto.... Hawana shape... Wanachoka haraka ... Wana kaharufu fulani hivi hasa kwenye nywele.... Ila kinachowabeba ni rangi

Harufu ya nywele hata wazungu wanayo yaan watu wenye laini wasipokuwa wasafi wana harufu flani hivi wanahitaji kuwa na usafi wa hali ya juu
 
Mie nimetafuna demi wa kihindi na nimrkula papuchi ya kiarabu pia..

Jamii hizi ni watu wabaguzi kweli kweli!!

Ngozi zao zimepoa kama huyu mwarabu ndio ilikuwa kabisa, ngozi barid kimtindo, ila uwongo mbaya alikuwa ni mtamu kuliko muhindi, kimahaba mtoto wa kiarabu alimzidi wa kihindi.
ulimchomoa wapi mzee
 
Mwana kayumba sana...
Ile show ilikua ni uwakilishi wa ngozi nyeusi na wala sio personal kama alivyoichukulia yeye.
Angetuwalikisha tu kwa kula show na kitambi chake
lakini huwezi jua mzee, unaweza ukaona hata wewe ungekula kona
 
Back
Top Bottom