Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Du...mmachinga kamaliza!
Machinga wengine ni waelewa, kuna graduates mle!
Hongera mmachinga, tumekuelewa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaoandamana huwa ni malofa tu .View attachment 2746305
Du...mmachinga kamaliza!
Machinga wengine ni waelewa, kuna graduates mle!
Hongera mmachinga, tumekuelewa!
Sukuma gang kaziniView attachment 2746305
Du...mmachinga kamaliza!
Machinga wengine ni waelewa, kuna graduates mle!
Hongera mmachinga, tumekuelewa!
Fuatilia michango yangu, mi SKM Gang, lakini kubali argument ya huyo machinga.Sukuma gang kazini
Maccm yanaogopa sana maandamano wanalala na viatu, wanatafuta watu wakukodi kama huyo wanampa hella anaanzwa kubwabwajaView attachment 2746305
Du...mmachinga kamaliza!
Machinga wengine ni waelewa, kuna graduates mle!
Hongera mmachinga, tumekuelewa!
Kipindi chenu cha kulia na kusaga majinoFuatilia michango yangu, mi SKM Gang, lakini kubali argument ya huyo machinga.
Ccm ni janga la taifaMaccm yanaogopa sana maandamano wanalala na viatu, wanatafuta watu wakukodi kama huyo wanampa hella anaanzwa kubwabwaja
Watu wa chipsi mayai tena ile rojorojoVijana wa daslam bana..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..
Hapo hata angeamua kuandamana angekua anakimbia huku kaweka kidole juu..
Sema njaa ni nyingi mnoUpumbavu ni mwingi mnoo.
MaCHADEMA muwe na fungu la kuwalipa machinga wanaoacha shughuli zao na kuandamana.Maccm yanaogopa sana maandamano wanalala na viatu, wanatafuta watu wakukodi kama huyo wanampa hella anaanzwa kubwabwaja
Kama yule mzee wa kilwa aliye jitolea jogoo eti anamzawadia jiweMachinga wa mchongo huyu
Alivonyoa unajua yupo kaziniView attachment 2746305
Du...mmachinga kamaliza!
Machinga wengine ni waelewa, kuna graduates mle!
Hongera mmachinga, tumekuelewa!
Sukuma gang mnatafuta pa kutokea lkn milango yote bado imekazaMaCHADEMA muwe na fungu la kuwalipa machinga wanaoacha shughuli zao na kuandamana.
Ujumbe ndio huo kama huelewi.
Juzi nilimuona mitaa ya chaga biteAlivonyoa unajua yupo kazini
Mkuu mbona CHADEMA mkono na sera kibirika, watafutieni chinga njulugu, wataandamana hadi kwa mkweo!Sukuma gang mnatafuta pa kutokea lkn milango yote bado imekaza