Mmachinga: Oyaaa....! Mwanangu kuandamana barabarani siingii

Mmachinga: Oyaaa....! Mwanangu kuandamana barabarani siingii

Mwambie kitanuka hata asipoandamana..

Bei za vitu zina sky rocket na hakuna kitu anaweza fanya.

Hizo blabla anazopanga barabarani zitapoteza thamani na atarudi kwao kuendelea kushangilia kazi ikiendelea
MImi yule pale, hatatoka hata mtu mmoja, hii ndio bongo. utatoka mtu mmoja watu million watasimama pembeni kukushangaa na kukupiga picha. Wa Bongo wanavyopenda starehe umwambie toka, Sasa ni wakati wa hao viongozi kuchukuwa family zao kusimama mbele ya maandamano kuonesha mfano. Chukuwa mke, watoto kama wazazi wako bado sijui wajomba ongoza maandamano unaweza kuwashawishi watu.
 
Ukiona mtu anaanza lugha chafu elewa kuwa kazidiwa hoja na upeo.
Yaani kosa kubwa na anaguko la hawa Chadema japo Chadema kama chama sijasikia kusema kuandamana nasikia wale wanaojiita wanaharakati ila wataabika vibaya sana na ndio anguko lao maana naona hata siku iko mbali, nadhani hawaijui Bongo wanadanganywa na republic za mitandaoni. Kama hawatajikuta wako peke yao. Usitake makubwa ukadhani una nguvu kumbe unauzwa mitandaoni. Na siku hiyo tutakuwa na kazi za usafi wanajeshi wanajotolea kufanya usafi miji yetu. 😛
 
Yaani kosa kubwa na anaguko la hawa Chadema japo Chadema kama chama sijasikia kusema kuandamana nasikia wale wanaojiita wanaharakati ila wataabika vibaya sana na ndio anguko lao maana naona hata siku iko mbali, nadhani hawaijui Bongo wanadanganywa na republic za mitandaoni. Kama hawatajikuta wako peke yao. Usitake makubwa ukadhani una nguvu kumbe unauzwa mitandaoni. Na siku hiyo tutakuwa na kazi za usafi wanajeshi wanajotolea kufanya usafi miji yetu. 😛
Sukuma gang mtanyooka nyau
 
wabongo hawaaminiki kiivo...uyu ukimwita pembeni umwulize vizuri utasikia,,,bro njaa tu hiz kimtindo mi mwenyewe naunga mkono halakati
Halafu anamalizia kwa kusema hauna hata buku lisilokuwa na kazi hapo.?
 
Toka uuandamane wewe na familia yako.Mnataka,wasiotaka kuandamana,waandamane.
Huyo machinga alikuwa wapi kipindi cha magufuri mana kile ndio kilikuwa kipindi cha hawa jamaa kugoma kuandamana sio sasa machinga wengi samia kawafukuza sehemu za mjini
 
Back
Top Bottom