Kwa habari za chini ya kapeti ni kwamba mmakonde na Sarah wamwagana ila mmakonde anaona aibu kukiri waziwazi kwa kuhofia kuchekwa na watu.
Kwa kifupi mmakonde bila Sarah si lolote wala si chochote ukapuku umemjaa siku zote anavimba mjini kwa kutegemea kuhongwa na Sarah .
Na bado [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sarah Michelotti jina la Kimorroco ??? kweli Mond kawafanya misukule nendeni kwa Gwajima khaaaHuyo demu mnapiga kelele ana hela ana hela hela gani acheni zenu nyinyi,Huko Italy katoka familia ya kikimbizi waarabu wa Moroko.
Kazi anayoendaga kufanya huko anajua mwenyewe
Hayo majina tu kama chid benzi ye benzi?Sarah Michelotti jina la Kimorroco ??? kweli Mond kawafanya misukule nendeni kwa Gwajima khaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo majina tu kama chid benzi ye benzi?
Fala wewe
Floyd unasikiliza taarabu?Team Diamond Platnumz &Floyd Mayweather.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni mtumwa wa ule upande wa 2umeandika kishari sana. Ni wazi una la zaidi wewe si bure
Hahahaha ilo nalo neno.. itakuwa shetani ni mjomba wakeShetani ajifunze kwako mtoa mada
Duh hadi na maisha yake unayajuwa kuliko maisha yako [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hongera dadaHuyo demu mnapiga kelele ana hela ana hela hela gani acheni zenu nyinyi,Huko Italy katoka familia ya kikimbizi waarabu wa Moroko.
Kazi anayoendaga kufanya huko anajua mwenyewe
AiseeMwanaume kuleta hbr za kisnitch ni ushoga
Sent from my iPhone using JamiiForums
Pilipili ya shamba yakuwashia nini ?Kwa habari za chini ya kapeti ni kwamba mmakonde na Sarah wamwagana ila mmakonde anaona aibu kukiri waziwazi kwa kuhofia kuchekwa na watu.
Kwa kifupi mmakonde bila Sarah si lolote wala si chochote ukapuku umemjaa siku zote anavimba mjini kwa kutegemea kuhongwa na Sarah .
Na bado [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kachukue nafasi ya SaraKwa habari za chini ya kapeti ni kwamba mmakonde na Sarah wamwagana ila mmakonde anaona aibu kukiri waziwazi kwa kuhofia kuchekwa na watu.
Kwa kifupi mmakonde bila Sarah si lolote wala si chochote ukapuku umemjaa siku zote anavimba mjini kwa kutegemea kuhongwa na Sarah .
Na bado [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππππHivi mtoa mada huwa ni mwanamke ?? Au yupo katikati ya Mwanamke na mwanaume???