Mmarekani wa Tandale akiwa kwao Marekani na wenzake

Mmarekani wa Tandale akiwa kwao Marekani na wenzake

Mwana ni muongo muongo sana ila kwenye lugha tusameheane tu jamani, sio yetu hiyo.

Tusisahau amefanya inglish kozi kwa Ras Simba, ni kweli, hajamuelewa snoop, sasa afanyaje zaidi ya kujichekesha na Yes za kutingisha kichwa kuonesha wako pamoja.....sio mbaya kwa huyu, kuliko mwenye zamana yake ya elimu halafu anaongea mbele nyuma😀
 
Mwana ni muongo muongo sana ila kwenye lugha tusameheane tu jamani, sio yetu hiyo.

Tusisahau amefanya inglish kozi kwa Ras Simba, ni kweli, hajamuelewa snoop, sasa afanyaje zaidi ya kujichekesha na Yes za kutingisha kichwa kuonesha wako pamoja.....sio mbaya kwa huyu, kuliko mwenye zamana yake ya elimu halafu anaongea mbele nyuma😀
Kiingereza Cha yule mama Ni aibu namba moja, mweee
 
Hahahahaha mambo mengine hayafai kuyaiga Mkuu wangu mwishowe unaonekana kituko.
Mbona kina Youssou N'dour hawanaga muda wa kujidai Wamarekani? Maujiko ya huyo dogo, tambo na mbwembwe zake yanamtengenezea maadui kila kukicha
 
Mbona kina Youssou N'dour hawanaga muda wa kujidai Wamarekani? Maujiko ya huyo dogo, tambo na mbwembwe zake yanamtengenezea maadui kila kukicha
Huwezi kumfurahisha binadamu, maadui waongezeke tu unawamaliza kwa mafanikio tu, ogopa MUNGU sio binadamu
 
Mwana ni muongo muongo sana ila kwenye lugha tusameheane tu jamani, sio yetu hiyo.

Tusisahau amefanya inglish kozi kwa Ras Simba, ni kweli, hajamuelewa snoop, sasa afanyaje zaidi ya kujichekesha na Yes za kutingisha kichwa kuonesha wako pamoja.....sio mbaya kwa huyu, kuliko mwenye zamana yake ya elimu halafu anaongea mbele nyuma😀
Pengine hajaelewa sehemu ambayo kampa nondo nzurii ya kutoboaaa maisha 😀
 
English ni lugha matata sana kwa WanaCCM, ona waziri wa Elimu akichapa yai mbele ya kadamnasi. Halafu huyu ni professor
Mwana ni muongo muongo sana ila kwenye lugha tusameheane tu jamani, sio yetu hiyo.

Tusisahau amefanya inglish kozi kwa Ras Simba, ni kweli, hajamuelewa snoop, sasa afanyaje zaidi ya kujichekesha na Yes za kutingisha kichwa kuonesha wako pamoja.....sio mbaya kwa huyu, kuliko mwenye zamana yake ya elimu halafu anaongea mbele nyuma😀
 
Back
Top Bottom