Four language skills you need to master, namely: 1. Lestening skills, writing skills, reading skills, and speaking skills.
Sasa, Diamond na Mtanzania yoyote anaweza kuongea fluent English akiwa peke yake (One way), lakini akapata ugumu katika mazungumzo na mzungumzaji mzawa wa Kiingereza (Two ways), kwa sababu ya poor listening skills. Hii ni kutokana na kutozungumza na wazungumzaji wazawa wa Kiingereza mara kwa mara.
Hapa Tanzania, tunazungumza Kiswahili kwa asilimia kubwa ya maisha yetu ya kila siku, hivyo tunakosa English Listening Skills.
sasa Diamond kakutana na muhuni Snoop anongea Kiingereza cha wanamuziki, kamwe Diamond hawezi kufua dafu.
Nilifanya utafiti kidogo, marais wa Marekani huwa wanajitahidi kuzungumza Kiingereza rahisi sana. Itakuwa wanajua kila siku wanaingia Wamarekani, ambao hawajaimudu vyema Lugha ya Kiingereza.