CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 11,635 Reaction score 21,347 Aug 21, 2024 #81 Lile Lishangazi Fatu na lenyewe lidangaji tu huyo siyo mumewe
Bantu Lady JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 8,900 Reaction score 28,398 Aug 21, 2024 #82 Ushimen said: Mkuu.... Sijazowea kukuona hivi, I'm sure ID yako itakua imedukuliwa..π€ Click to expand... Mkuu nami nimeshangaa, kuna mtu aliidukuwa. Kishanirudishia Mkuu π π π π π Ushimen
Ushimen said: Mkuu.... Sijazowea kukuona hivi, I'm sure ID yako itakua imedukuliwa..π€ Click to expand... Mkuu nami nimeshangaa, kuna mtu aliidukuwa. Kishanirudishia Mkuu π π π π π Ushimen
Mtemi mpambalioto JF-Expert Member Joined Aug 23, 2015 Posts 3,436 Reaction score 7,955 Aug 21, 2024 #83 cocastic said: Tena awekwe hadharani huyo baba, waja tumuonee. Aaaaah wee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Click to expand... naskia ni kamishna! ukute hawa hawa akina DCI
cocastic said: Tena awekwe hadharani huyo baba, waja tumuonee. Aaaaah wee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Click to expand... naskia ni kamishna! ukute hawa hawa akina DCI
babukijana JF-Expert Member Joined Jul 21, 2009 Posts 14,478 Reaction score 18,341 Aug 21, 2024 #84 Utaambiwa kafariki mwaka juzi
Gautten Potten JF-Expert Member Joined Aug 22, 2022 Posts 1,642 Reaction score 3,426 Aug 21, 2024 #85 Utaambiwa na wewe unamtaka
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,674 Reaction score 29,643 Aug 21, 2024 #86 Bantu Lady said: anakit*mbesha Click to expand... Bantu Lady bhanaπ
Baba Kisarii JF-Expert Member Joined May 7, 2024 Posts 1,844 Reaction score 3,089 Aug 21, 2024 #87 Bantu Lady said: Yeye ndiyo chanzo. Asingemtongoza huyo binti, mambo yasingefika hapa. Mume na mke wote wana makosa. Kuna ndoa zingine, zilishajifia kabla hata mtu wa kuja kuziua. Click to expand... Huyo jamaa sio mume wa afande bali ni mchepuko tu. Afande mshangazi ni single lady mwenye wivu kwa mchepuko wake kuhamishia mahaba kwa kabinti. Mubaba hana ubaya kabisa, ye anawajibika tu kuwapelekea moto kina afande.
Bantu Lady said: Yeye ndiyo chanzo. Asingemtongoza huyo binti, mambo yasingefika hapa. Mume na mke wote wana makosa. Kuna ndoa zingine, zilishajifia kabla hata mtu wa kuja kuziua. Click to expand... Huyo jamaa sio mume wa afande bali ni mchepuko tu. Afande mshangazi ni single lady mwenye wivu kwa mchepuko wake kuhamishia mahaba kwa kabinti. Mubaba hana ubaya kabisa, ye anawajibika tu kuwapelekea moto kina afande.