Mmea wa ajabu unao ona wachawi

Ulimwengu wetu hauna mwanzo wala mwisho kuna mengi ya kutisha sana
 
Mmea una uwezo wa kuona wachawi, lakini unashindwa kupambana na wadudu wanaoutoboa toboa.
Haya mambo bana.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa fikira hizi hatuwezi kujikwamua na janga la ujinga
 
Tatizo la wabongo ni kudhania kila kitu ni ushirikina, uchawi wa Simba na Yanga umewaathiri watanzania wengi sana.
 
Kuna yale majani ya polini ukiyagusa yanasinyaa nayobyanaona wachwawi?
Kama umeamini hayobna weww utakuja kuwa mchawi
mkuu umekonda mpaka huwezi kuandika vizuriπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mmea uliokauka nimehesabu majani yake yako kwenye 20 hivi.

Mmea uliochanua majani yake hayafiki 19.

Unataka kutangaza biashara ya uganga huna lolote.
 
jifunze mzee upate elimu ya kila kona
 
Duu hii post inakaribia mwaka ndio naiona.... Je ulibahatika kuwaona hao wachawi wewe mwenyewe?

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…