Mmejitahidi sana kuipamba na kuinogesha harusi ya leo, ila hata haijafikia 25% ya iliyokuwa Harusi ya Mtoto wa Mzee Rupia

Labda kwenu tandale
 
Kumbe hata Wewe pia unamjua Ali Kiba? Mliokuja Mjini na Malori ya Nguruwe, Bata, Mbuzi na Ng'ombe mnajulikana tu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] POPOMA umekula ban kwenye ID yako ile.
 
Umeona wapi Harusi yenye Wapare ikafana hasa kwa Vinywaji na Maakuli? Nasikia wagawa Bia wameelekezwa kuwa Bia ni Moja tu, ila kuja nazo zako na kuingia nazo Ukumbini ni rukhsa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nssf hapo sijawaelewa....
Bado nalia nao

Ova
 
Bora hata na crdb kidogo

Ila nssf nime spaculate kichwani nimekosa jibu why ? How ?

Hai make sense kabisa


Halafu kwenye mafao wanazungusha watu
167 milioni sio mchezo Bora wakazamini ndondocup wangepata wanachama wa hiari wauza mitumba.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…