MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #21
Kwani na Sisi tuliwaomba kutwa tu wawe Wanaipromoti katika Media za Tanzania hasa za Dar es Salaam?waswahili mnanongwa sana kwani waliwaambia kuwa wanashindanisha ndoa zaoo?
Tatizo unapenda mselelekoTulikunywa Bia za bure kwa Wiki Mbili hadi tukazikinai achilia mbali Misosi na Mapochopocho.
kwani walikushikia fimbo utizame hizo channel mbona sie wengine wala hatujaona hiyo harusi tulikuwa busy na natgio tunatizama wanyamaKwani na Sisi tuliwaomba kutwa tu wawe Wanaipromoti katika Media za Tanzania hasa za Dar es Salaam?
Ya Alikiba hii iliyovunjika?Hii Harusi haijaifikia hata ROBO ya ile ya ALIKIBA.
Angetazama hata National Geographickwani walikushikia fimbo utizame hizo channel mbona sie wengine wala hatujaona hiyo harusi tulikuwa busy na natgio tunatizama wanyama
Labda kwenu tandaleHii harusi ya leo kali sana acha majungu
Harusi kuwa nzuri sababu sio chakula wala vinywaji. Bali ni maharusi wenyewe jinsi wanavyoendana. Jinsi wavyopendwa na jamii hasa watoto.
Unajua leo kanisani watoto waliokuwa kwenye mafundisho wa kipaimara walitoroka darasani kwao sababu kwenda kuwaona maharusi tu wanavyoingia kanisani na kwenye ibada watoto wakazama wakasahau mafundisho yao
vitafunio ivi 🍞🥖🥑 chai yako punguza majan imekuwa kali sanaKumbe ulikuwepo mkuu kwenye ndoa yangu yule dada syo kabisa dingi alilazmisha nimuoe
Karibu Texas sasa nimeoa toto la kimexico maisha n mpwito mpwito
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] POPOMA umekula ban kwenye ID yako ile.Kumbe hata Wewe pia unamjua Ali Kiba? Mliokuja Mjini na Malori ya Nguruwe, Bata, Mbuzi na Ng'ombe mnajulikana tu.
Imevunjika lini??? Amekuoa ww sasa hivi baada ya kumuacha AMINA??Ya Alikiba hii iliyovunjika?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeona wapi Harusi yenye Wapare ikafana hasa kwa Vinywaji na Maakuli? Nasikia wagawa Bia wameelekezwa kuwa Bia ni Moja tu, ila kuja nazo zako na kuingia nazo Ukumbini ni rukhsa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mabody guard wanasukuma watu why kwanini wasogezwe si waliwaaliaka wao
Bora hata na crdb kidogoNssf hapo sijawaelewa....
Bado nalia nao
Ova
167 milioni sio mchezo Bora wakazamini ndondocup wangepata wanachama wa hiari wauza mitumba.......Bora hata na crdb kidogo
Ila nssf nime spaculate kichwani nimekosa jibu why ? How ?
Hai make sense kabisa
Halafu kwenye mafao wanazungusha watu
Wenyewe wanakuambia wale ni brand [emoji1]Bora hata na crdb kidogo
Ila nssf nime spaculate kichwani nimekosa jibu why ? How ?
Hai make sense kabisa
Halafu kwenye mafao wanazungusha watu