Mmeniponza! Nimecharuana na rafiki yangu!

Nimecheka sana mkuu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
"lakini kwa bahati nzuri nilikuwa na mkojo mwengine as emergency!, nikaweka tena mwengine"

Jua lilivyokuwa Kali hivi mtu anywe kojo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na unasema kabisa eti reserve ilikuwepo hebu kuwa na huruma mkuu.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Nimecheka kama chizii
 
Kwahiyo ukiacha konokono, bado na uti kali unayoπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
 
"lakini kwa bahati nzuri nilikuwa na mkojo mwengine as emergency!, nikaweka tena mwengine"

Jua lilivyokuwa Kali hivi mtu anywe kojo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na unasema kabisa eti reserve ilikuwepo hebu kuwa na huruma mkuu.
Huruma ya kazi gani tupo kwenye tiba!
 
Kwahiyo ukiacha konokono, bado na uti kali unayoπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
Ni maneno yake tu mi afya yangu ipo imara!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…