Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Wameanguka kutoka anga ya mbali, wakaanza kuzaliana na binadamu waliowakuta maeneo mbalimbali.. ndio maana kila siku wanapambana kurusha vyombo kwenda anga ya mbali maana huko ndiko asili yao.Wametokana na muunganiko wa Chromosome zipi hao Wazungu sio X na Y?
Ndio maana walikua wanawakata vichwa na kuondoka navyoWameanguka kutoka anga ya mbali, wakaanza kuzaliana na binadamu waliowakuta maeneo mbalimbali.. ndio maana kila siku wanapambana kurusha vyombo kwenda anga ya mbali maana huko ndiko asili yao.
Pembezoni mwa Marekani ndiyo wapi? Mexico na Canada?Sasa hivi wanaishi Wapi Hawa huko Marekani au wamehamia pembezoni mwa Marekani km Wazaramo wanavyoikimbia Dar?
Ndio sasa hivi hao red indians wamekimbilia Wapi?Pembezoni mwa Marekani ndiyo wapi? Mexico na Canada?
Museveni ndio kwanza anapiga pushups katika sebule ya ikulu ya Uganda, Afrika tuna safari ndefu sana.Umefuatilia habari kuona idadi ya senior democrats representative waliokuwa wanamsihi aachie last count ni 40.
Bado kuna donors ambao wali-commit kuchangia $90 million ya campaign ya uraisi, walisema awatatoa tena kama Biden atakuwa nominated.
Kulikuwa na pressure kubwa ya ndani ya chama chake na wafuasi wao, babu hana mental capacity ya kuendesha nchi. Sio kwamba kaachia tu kirahisi.
Sasa sijui Magufuli anaingia vipi wakati hakuna ushahidi wa yeye kutaka kuongoza maisha, angetaka ivyo watanzania wengi pia tungeunga mkono kazi ya maendeleo iendelee.
Native Americans wamechanganyika kwenye Wamarekani wengi wa sasa.Ndio sasa hivi hao red indians wamekimbilia Wapi?
Kwa hio red indians wamepotelea humo? Yule muigizaji the Rocky ni mtu wa Jamii hio na inaonekana red indians wameelekea upande wa MexicoNative Americans wamechanganyika kwenye Wamarekani wengi wa sasa.
Marekani watu wengi mnaowaita weusi, Latino na wazungu wamechanganyika na Native Americans. Ukiwapima DNA unakuta wanaoitwa weusi na wqzungu wengi sana wamechanganyika na Native Americans.
Ndiyo maana nikawaambia hata hii dhana ya "wazungu" ni ya kisiasa zaidi kuliko uhalisia.
JPM yupo kaburini huu mwaka wa tatu sasa, ni aibu kwa wewe unayeonekana ni kijana kumshambulia Marehemu, chunga sana Mungu huwatetea wasioweza kujitetea epuka hizi tabia za kudhani kuwa shida zako zimeletwa na mwingine na kibaya zaidi ni marehemu aliyekwishazikwa.Huwa wanasemaga hivyohivyo. Hata kagame huwa anasemaga kuwa haongezi tena ila ukikaribia uchaguzi anakuja kivingine. Jpm maneno yake ilikuwa tofauti na vitendo ndo maana aliiba uchaguzi wote ili ahakikishe ccm ndo wanakuwa bungeni ili kulinda maamuzi yake
The Rock si Native American, yule mama yake ni mtu wa Samoa.Kwa hio red indians wamepotelea humo? Yule muigizaji the Rocky ni mtu wa Jamii hio na inaonekana red indians wameelekea upande wa Mexico
Ajira ikawa zero.JPM yupo kaburini huu mwaka wa tatu sasa, ni aibu kwa wewe unayeonekana ni kijana kumshambulia Marehemu, chunga sana Mungu huwatetea wasioweza kujitetea epuka hizi tabia za kudhani kuwa shida zako zimeletwa na mwingine na kibaya zaidi ni marehemu aliyekwishazikwa.
JPM alifufua shirika la ndege linalotamba barani Afrika kwa sasa, kajenga SGR hii inayowapeleka maelfu ya mashabiki wa Simba Morogoro kuzindua jezi mpya za msimu wa ligi kuu.
Kule Mwanza anajenga kivuko cha kisasa cha Busisi, alijenga daraja jipya pale Salendar Bridge kafanya mengi sana ya maana kwa Tanzania ya kesho na miaka mingi ijayo, unapomshambulia na uwe na hoja nzito sio huu udaku wa kutungwa baada ya kushiba chai na chapati.
Kwenye hiyo kitu laana mimi simoKila siku tunawaambia ya kuwa Wazungu ile ni race ambayo ina akili sana na huenda taifa pendwa la Mungu.
Angalia Joe Biden ameamua kujiuzulu kugombea Urais kisa uzee na shinikizo la watu kutaka afanye hivyo.
Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024
Huku kwetu Africa, Rais mpaka afie madarakani. Museveni, Kagame, nk, hawataki kabisa kuachia madaraka eti wanaleta maendeleo as if watu wengine ni vilaza wenyewe ndio wana akili tu!
I'm sure hata Hayati Magufuli alikuwa anataka kufata the same path, asingeachia madaraka kabisaa. Ndio maana kaweka bunge lote CCM ili asipingwe kwa chochote na akahakikisha chombo cha habari ni TBC tu vingine akawa anawaita malaika kuvifuta.
Hakika sisi Waafrika ni laana na Mungu anajua sisi siyo binadamu.
Ndio hivyo ni mchanganyo Ila anafanania zaidi na hao red indians ambao sasa hivi wengi hawaonekaniThe Rock si Native American, yule mama yake ni mtu wa Samoa.
Hata huko Mexico hao Native Americans (hawaitwi Red Indians tena, that name is offensive) wamechanganyika sana na watu kutoka Spain. The same story.
Kufanana si kuwa. Wanaitwa Native Americans, hawaitwi Red Indians tena siku hizi. Ukiwaita Red Indians ni sawa na kuwaita watu weusi Niggers, ni jina lililopitwa na wakati na liko offensive.Ndio hivyo ni mchanganyo Ila anafanania zaidi na hao red indians ambao sasa hivi wengi hawaonekani
Hapo sawa nimekuelewa vizuri sasa kwa hio native wenyewe sasa hivi hawapo wamebakiza machotara matupuKufanana si kuwa. Wanaitwa Native Americans, hawaitwi Red Indians tena siku hizi. Ukiwaita Red Indians ni sawa na kuwaita watu weusi Niggers, ni jina lililopitwa na wakati na liko offensive.
Wapo wachache sana kuna baadhi ya states, wengine wanakaa katika reservations zao.Hapo sawa nimekuelewa vizuri sasa kwa hio native wenyewe sasa hivi hawapo wamebakiza machotara matupu
Kweli wamebaki wachache na wale wana tamaduni zao zile za asili zaidiWapo wachache sana kuna baadhi ya states, wengine wanakaa katika reservations zao.
Amuige kivipitunaomba mama amuige trump
wewe unaniuliza kama naniAmuige kivipi