Mmeona sasa utofauti kati ya Uwajibikaji wa Wazungu na Waafrika? Kwetu Rais mpaka afie madarani vinginevyo hatoki!

Mmeona sasa utofauti kati ya Uwajibikaji wa Wazungu na Waafrika? Kwetu Rais mpaka afie madarani vinginevyo hatoki!

Shida ya Biden ni afya imegoma kuendana na nia yake.tuludi kidogo kwenye fikra,tatizo sio kukaa madarakani muda mrefu,kama unasimamia wajibu wa wananchi wako hiyo hata ufie hapo sio tatzo.

Mwandishi mmoja wa UK alimuuliza mugabe,nilini utatoka madarakani nae akamjibu"KWANZA KAMUULIZE MALIKIA WENU NILINI ATAACHIA MADARAKA YAKE".
Tanbua hata kule UK wanako tumia kigezo cha democracy kwa kuichokonoa afrika,kwa maskahi yao.pia kuna rain wa UK hawataki utawala wa kifalme kwani inanifaisha familia moja.
Nikupeleke NChi ya BRUNEI nchi hyo inautawala wa kifalme,mfalme ndio anamamlaka makubwa nchini humo.raia wa nchi hyo hawalipi kodi na wasio na ajira seeikali inajukumu la kuwatunza.sasa wewe Stoke huko ukawashawish rain wa brunei wapinge huo utawala,[hawatakuelewa]
Alikuwa hana kazi wakati wa JPM na sasa anayo na kwake hiyo ni sababu ya kumlaumu hayati JPM na kuja na uzi wa kumshusha thamani.

Hajui kuwa maamuzi ya JPM ya wakati ule yalilenga kuigusa kesho yake yeye na wadogo zake.
 
The so called dictator was not there to fulfill anybody's personal dreams he was elected to implement bigger policies and he did that with accuracy, dedication and commitment.

There is no leader who is elected to serve our personal goals, he fought his fight to the best of his abilities and we are forever thankful for his patriotic soul.
The government is for the people, by the people and of the people. Any leader who is not for the people or individuals is not desirable. That's why he even dared to kill some people and created the bandits(unknown people) to torture/abduct civilians because he was not for the people
 
The government is for the people, by the people and of the people. Any leader who is not for the people or individuals is not desirable. That's why he even dared to kill some people and created the bandits(unknown people) to torture/abduct civilians because he was not for the people
He made some tough and serious decision and he was not afraid of shaking the status quo.

A lot of liberties are not meant for africans. We have our ways of dealing with issues. His Iron fist was the real cure for our laziness and emblezzlement of funds and public offices.

JPM was a needed cure for our desire to have a betterment in our lives.
 
Alikuwa hana kazi wakati wa JPM na sasa anayo na kwake hiyo ni sababu ya kumlaumu hayati JPM na kuja na uzi wa kumshusha thamani.

Hajui kuwa maamuzi ya JPM ya wakati ule yalilenga kuigusa kesho yake yeye na wadogo zake.
Akili yake kisoda.
JPM alikataa chanjo ya covid19.wazungu wakatumia raia kama hao kumlaumu,kua hana upendo na raia wake na tutakufa kama kuku.

Leo hii baadhi ya majimbo kule U.S.A wanaenda kuuishtaki kampuni iliyo tengeneza chanjo ya covid19,kuwa walidanganya raia chanjo ilikuwa na madhara na fake tu.

Wanejinufaisha kwa kupata pesa na ndio hizo SSH alizipokea na kusambaza kwa watanzania.
Nashukuru sikuchoma na nko poa.
 
He made some tough and serious decision and he was not afraid of shaking the status quo.

A lot of liberties are not meant for africans. We have our ways of dealing with issues. His Iron fist was the real cure for our laziness and emblezzlement of funds and public offices.

JPM was a needed cure for our desire to have a betterment in our lives.
But all he did was controversial to our lives coz lives became harder and harder as compared to the his predecessor. You cannot improve life and deal with corruption in darkness. Remember almost all media were terrified to report anything against his wishes and some were even banned like Tanzania daima and mawio and left out the media which were singing praises like uhuru etc
 
But all he did was controversial to our lives coz lives became harder and harder as compared to the his predecessor. You cannot improve life and deal with corruption in darkness. Remember almost all media were terrified to report anything against his wishes and some were even banned like Tanzania daima and mawio and left out the media which were singing praises like uhuru etc
Go out and work be creative and you will earn rightfully what is to be earned. The habit of complaining won't add even a a cent into your pockets.

Blame game only add miseries to we the people of african origin. What about China with a population of more than a billion citizens?. have you ever read somewhere that Chinese people are complaining to their government for their daily problems?.

Young Man, be creative and think positively as much as you can.
 
Kila siku tunawaambia ya kuwa Wazungu ile ni race ambayo ina akili sana na huenda taifa pendwa la Mungu.

Angalia Joe Biden ameamua kujiuzulu kugombea Urais kisa uzee na shinikizo la watu kutaka afanye hivyo.

Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Huku kwetu Africa, Rais mpaka afie madarakani. Museveni, Kagame, nk, hawataki kabisa kuachia madaraka eti wanaleta maendeleo as if watu wengine ni vilaza wenyewe ndio wana akili tu!

I'm sure hata Hayati Magufuli alikuwa anataka kufata the same path, asingeachia madaraka kabisaa. Ndio maana kaweka bunge lote CCM ili asipingwe kwa chochote na akahakikisha chombo cha habari ni TBC tu vingine akawa anawaita malaika kuvifuta.

Hakika sisi Waafrika ni laana na Mungu anajua sisi siyo binadamu.
Sema unaogopa kumtaja maza, ameleta mfumuko wa bei na wizi tupu lakini bado anataka tena
 
Go out and work be creative and you will earn rightfully what is to be earned. The habit of complaining won't add even a a cent into your pockets.

Blame game only add miseries to we the people of african origin. What about China with a population of more than a billion citizens?. have you ever read somewhere that Chinese people are complaining to their government for their daily problems?.

Young Man, be creative and think positively as much as you can.
Now i'm employed. Thanks to mama
 
Namleta kwenu,yeye na urais mpaka kifo kiwatenganishe!
IMG-20240722-WA0020.jpg
 
Ki vipi. Kwani unaona sisis waafrica ni watu wa kawaida? Kama jpm ndo kabisa lilikuwa li dictator upcoming. Mungu akaamu kumuangamizia mbali asije chafua taifa lililokabidhiwa liwe chini ya ulinzi wa bikra maria na papa paul wa pili
Hiyo aya ya mwisho imefanya nikutukqne matusi yote
 
Magufuli ndo alituharibia nchi hivyo lazima awe reference
Ni best presda wa muda wote. Wenye mahela mengi benk ndo mulimchukia jpm. Sasa sisi vipesa vye viko mpesa jpm hata halikuwa havioni tumchukie kwa lipi?
 
Back
Top Bottom