SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
Opportunity cost ni kipengele cha kiuchumi. Tulikuwa tuchague moja reli ya SGR ijengwe kuanzia Dar mpaka Kigoma kwa trilioni 15 au tule bata tukiongeza mishahara.Ajira ikawa zero.
Ongesa na hili
Kula bata ndo best choice. Maisha yenyewe mafupi hayaOpportunity cost ni kipengele cha kiuchumi. Tulikuwa tuchague moja reli ya SGR ijengwe kuanzia Dar mpaka Kigoma kwa trilioni 15 au tule bata tukiongeza mishahara.
Tufufue shirika la ndege linalofanya biashara kubwa hivi sasa au tule bata za maisha ya mijini.
Mtoto mdogo wewe.Kula bata ndo best choice. Maisha yenyewe mafupi haya
Sasa sgr na ndege hizo zokiwepo halafu mnanuka umaskini vinakusaidia nini. Angalia sudani kila kitu kipo lakini wakimbizi kila sikuMtoto mdogo wewe.
Umaskini sio sawa na kufagia nyumba yako baada ya kuwa imejaa mavumbi. Ni michakato ya muda mrefu. Wewe unamponda hayati JPM kwa akili hizi za utoto na ujana!!.Sasa sgr na ndege hizo zokiwepo halafu mnanuka umaskini vinakusaidia nini. Angalia sudani kila kitu kipo lakini wakimbizi kila siku
My arguments always carry water.Umaskini sio sawa na kufagia nyumba yako baada ya kuwa imejaa mavumbi. Ni michakato ya muda mrefu. Wewe unamponda hayati JPM kwa akili hizi za utoto na ujana!!.
Haya ni maongezi ya madalali wa Mwenge na mafundi wa magari wa gereji za Dar. Very Shallow argument.
It depends on your audience young man.My arguments always carry water.
My audience always are smart except you and only you.It depends on your audience young man.
That is how they mislead you and make your mind a limited bucket of taking in new ideas.My audience always are smart except you and only you.
I don't have a box man. Stop insulting me. The heard and box cannot be used interchangeably to me. May be youThat is how they mislead you and make your mind a limited source of taking in new ideas.
Think outside your box it will help you.
Kwenu wapi?Kila siku tunawaambia ya kuwa Wazungu ile ni race ambayo ina akili sana na huenda taifa pendwa la Mungu.
Angalia Joe Biden ameamua kujiuzulu kugombea Urais kisa uzee na shinikizo la watu kutaka afanye hivyo.
Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024
Huku kwetu Africa, Rais mpaka afie madarakani. Museveni, Kagame, nk, hawataki kabisa kuachia madaraka eti wanaleta maendeleo as if watu wengine ni vilaza wenyewe ndio wana akili tu!
I'm sure hata Hayati Magufuli alikuwa anataka kufata the same path, asingeachia madaraka kabisaa. Ndio maana kaweka bunge lote CCM ili asipingwe kwa chochote na akahakikisha chombo cha habari ni TBC tu vingine akawa anawaita malaika kuvifuta.
Hakika sisi Waafrika ni laana na Mungu anajua sisi siyo binadamu.
Don't try to undermine the late John Magufuli he did a lot of patriotic decisions for Tanzania of today and generations to come.I don't have a box man. Stop insulting me. The heard and box cannot be used interchangeably to me. May be you
Umefuatilia habari kuona idadi ya senior democrats representative waliokuwa wanamsihi aachie madaraka last count ilikuwa 40.
Bado kulikuwa kuna donors ambao wali-commit kuchangia $90 million ya campaign ya uraisi, baadae wakasema awatatoa tena kama Biden atakuwa nominated kugombea.
Kulikuwa na pressure kubwa ya ndani ya chama chake na wafuasi wao, babu hana mental capacity ya kuendesha nchi. Sio kwamba kaachia tu kirahisi.
Sasa sijui Magufuli anaingia vipi wakati hakuna ushahidi wa yeye kutaka kuongoza maisha, angetaka ivyo watanzania wengi pia tungeunga mkono kazi ya maendeleo iendelee.
I cannot stop undermining the petty dictator who banned almost three quarters of all domestic and foreign investments causing massive unemployment to youths especially me. But currently i have secured again the job under this leadership which prioritize human welfare firstDon't try to undermine the late John Magufuli he did a lot of patriotic decisions for Tanzania of today and generations to come.
The so called dictator was not there to fulfill anybody's personal dreams he was elected to implement bigger policies and he did that with accuracy, dedication and commitment.I cannot stop undermining the petty dictator who banned almost three quarters of all domestic and foreign investments causing massive unemployment to youths especially me. But currently i have secured again the job under this leadership which prioritize human welfare first