Mmh hawa Jwaneng ni kama Ihefu iliyochangamka, hakuna timu hapo

Mmh hawa Jwaneng ni kama Ihefu iliyochangamka, hakuna timu hapo

Ni kweli wabotswana ni utopolo iliyochangamka yaani wamewazidi yanga kidogo tu sema wao hawajakamia mechi
 
Waliobebwa ndo hao hao wanawakojolea kila mnapokuktana nao sijui mliwabebaje apo maana amkuchukua kwao ata point moja ya maana ni kichekesho, awa jwaneng unawalinganisha na Rivers? Awa kiwango chao ni sawa na mbeya city, au majimaji ya songea
Kila mnapokutana unataka kumanisha nn? Kigoma ulikutana na Nani na vipi Nan alikojolewa huko?

Ukweli mchungu yanga mafanikio yenu ni kumkamia Simba na kumfunga mkibahatika kufunga Tena kwa ndumba mnafurah as if mmebeba ubingwa ,ushind wenyewe umejaa janja janja kibao Mara mpitie milango isio rasmi Mara vile ,mlitaka kuleta huo upuuz kwa wanaijeria lakin wakawakojolea nje ndan ,alafu hao wabotswana wameanza hatua ya awal km yanga,.
Akishinda Simba bac timu aliyokutana nayo ni mbovu ,hata msimu uliopita mliongea ivo Ivo lakin Simba ikamfunga alhly ,as Vita na taka taka zingine ,ifike Mahal muwe mnakubal kuwa mmezidiwa parefu na Simba kuanzia viwango maana Simba ni ya 15 Africa kwa ubora huku yanga akiwa wa 74.
Alafu sio ajabu yanga kumfunga Simba ,mbona hata Bayern Munich anafungwa na shalk04 lakin haiondoi kuwa shalk04 ni Bora kwa munich.

Majitu ya yanga mmejaa wivu na husda ndio maana hamfanikiw ,njia ya kifanikiwa sio kumchukia aliyekuzid Bali ni kukubal kuwa sio level yako ili ujifunze
 
Makolo hawataki ukweli

Hapa hakuna timu kabisa, timu kibonde ambao hawana hata physic bado hata kumiliki mpira ni shida kabisa, hii simba wajiandae maumivu huko makundi

Mark my words
Tumark nini wewe yanga fatilia ligi kuu

Huku kwa njemba kubwa tuachie sisi na pointi 1 yako
 
Kipimo Chao kilikua yanga[emoji123][emoji172][emoji169] na Dodoma Jiji,pale ndio usajili wa makapi yao ulionekana,km hao kina kanoute hawaonekani kwa game km ya leo[emoji1787][emoji1787][emoji1787],mtani huna timu,mwisho wa aibu unakuja jiandae[emoji85]
Simba na Yanga mnashindana aibu, yanga kala aibu ya kutolewa simba kala aibu ya kuingia makundi
 
Ukitaka wakimbie uzi uwambie wanakutana na yanga wiki ijayo uone watavyobana mik,,,ndu yao apa, wabotswana ata kushoot tu golini awajui sijui ile timu waliyoitoa kwa 2-1 inaonekana ni Kama zile timu za Djibouti, shelisheli na Somalia, maana ni mechi ambayo aikuwa na mvuto kabisa
Hata wawe na usomi kiasi gani, lakini wakifika kwenye Yanga yao, wanakuwa kama HAMNAZO VILEEEEEEEEE! Hayo sio maneno yangu. Sina shaka anaeleweka!
 
Mashabiki wa Yanga mbona mnaumia hivi simba kufanya vizuri mkae mkijua simba kuanzia sasa hatua ya makundi sio tena kitu cha majaliwa bali ni hali ya kawaida hata kama timu yao iwe mbovu kiasi gani na huu ndio ukubwa wa simba tunaousema hapa
Ukiondoa simba vilabu vingine vyote vilivyobaki nchini kufika tu hatua ya makundi ni ndoto achilia mbali robo fainali ambako simba amefika mara mbili ndani ya misimu mitatu
 
Unachopaswa kujua ni kwamba hakuna historia inayokumbukwa kwamba timu fulani ilikuwa bora ingawa imetolewa na timu bora zaidi. Ukipata mpinzani dhaifu muadhibu na songa mbele. Hakuna timu hapa duniani katika hatua yoyote inayofurahia kukutanishwa na mpinzani bora maana huwa hakuna kombe la kutolewa na timu bora.
 
Nimeamini utopolo ni wajinga kumbe:-

Wydad casablanca kapigwa 1-0 ugenini

Al Ahly kadroo 1-1ugenini

Rivers united ( waliowatoa gongowazi) wamedroo 1-1nyumbani

Tp mazembe alidroo 0-0 ugenini

Zanaco fc ( ya kapumbu) waliopiga utopolo siku ya misukule wamepigwa 3-0 ugenini na El Merrikh iliyopigwa na Simba 3-0 kwa mkapa

Mpaka sasa ni Simba sc ndiyo timu pekee iliyopata ushindi wa magoli mengi ugenini.

Ulitaka wacheze kukufurahisha wewe ilihali tayari walikuwa na goli mbili za away?

CAF CL ni league ya kutumia akili sana, ukikurupuka unaoshwa nje ndani kama kilichowakuta misukule.
Asante kwa uchambuzi mzuri.
 
Nimeamini utopolo ni wajinga kumbe:-

Wydad casablanca kapigwa 1-0 ugenini

Al Ahly kadroo 1-1ugenini

Rivers united ( waliowatoa gongowazi) wamedroo 1-1nyumbani

Tp mazembe alidroo 0-0 ugenini

Zanaco fc ( ya kapumbu) waliopiga utopolo siku ya misukule wamepigwa 3-0 ugenini na El Merrikh iliyopigwa na Simba 3-0 kwa mkapa

Mpaka sasa ni Simba sc ndiyo timu pekee iliyopata ushindi wa magoli mengi ugenini.

Ulitaka wacheze kukufurahisha wewe ilihali tayari walikuwa na goli mbili za away?

CAF CL ni league ya kutumia akili sana, ukikurupuka unaoshwa nje ndani kama kilichowakuta misukule.
[emoji106]
 
Wydad Casablanca kala 1-0.
Rivers United wababe wa utopplo wamechomoa 1-1.
Ila jwaneng wanaonekana wabovu kiss wamefungwa na Simba.
Ila wangeshinda wangeambiwa wazuri
te te te wasiogope mwakani wanabebwa tena waondoe shaka wakatie aibu..
biashara yupo kimataifa utopolo yupo songea
duniani maajabu hayaishi
 
Mtanzanias ni mmojawapo wa wale aliowasema Hajk Manara hapa!!
 
Kuna mashabiki wajinga sana nchi hii, kuna watu walipigwq nje ndani, nyuma mbele, hawana aibu kabisa, kutuaibisha kimataifa haitoshi, wanazidiwa na Azam na Biashara FC. Go fu-ck yourself.
 
Waliobebwa ndo hao hao wanawakojolea kila mnapokuktana nao sijui mliwabebaje apo maana amkuchukua kwao ata point moja ya maana ni kichekesho, awa jwaneng unawalinganisha na Rivers? Awa kiwango chao ni sawa na mbeya city, au majimaji ya songea
Timu zote zilizoanza raundi ya awali ziko level moja. Ila zilishoshinda na kuingia roundi ya kwanza zilikuwa bora katika wabovu.
 
Uto ni kama kahaba tu, anayadharau mafuta mgando wakati yanamrahisishia kazi yake!
 
Ni jambo la aibu pia timu iliyobebwa kucheza champions league kufungwa home and away sema nini hawa jamaa hii tiketi waliipambania home boy
Umeshasema kubebwa sasa kaa kimya ulitegemea anaye bebwa atafanya maajabu
 
Back
Top Bottom