babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Mbongo ni mtu wa ajabu sana.atakula makande na mayai kwa njaa zake mwenyewe ,tumbo likimuuma analaumu serikali kwanini haiweki vyoo kila mahali.
Treni ipo pale,mabasi yapo pia pale pale.
Treni ya abiria ina kazi zake,freight train si juzi tu imepiga mweleka maana mmepeleka bundi na sokwe wakakate umeme.
Na nyie mlikusudia ya abiria ndio iue watu.
Mungu si rajabu ikapita ya mizigo ikadondoka.
Famililai hamna mfu.
Acheni mambo ya hovyo na roho mbaya nyie.
Treni ipo pale,mabasi yapo pia pale pale.
Treni ya abiria ina kazi zake,freight train si juzi tu imepiga mweleka maana mmepeleka bundi na sokwe wakakate umeme.
Na nyie mlikusudia ya abiria ndio iue watu.
Mungu si rajabu ikapita ya mizigo ikadondoka.
Famililai hamna mfu.
Acheni mambo ya hovyo na roho mbaya nyie.