babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Hayanaga akiliAsilimia kubwa ya wabongo ni wachawi mnaikandia sana SGR jifunzeni kupongeza hata kwa kidgo kinachofanywa na serikali.
Hawakandii SGR, ila wanaoisimamia ndiyo wanaushangaza umma, kwanini yanatokea hayo yanayotokea?Asilimia kubwa ya wabongo ni wachawi mnaikandia sana SGR jifunzeni kupongeza hata kwa kidgo kinachofanywa na serikali.
Aibu yetu sote kivipi?aibu yao viongoziKweli kabisa. Hili la SGR tunakosea sana kuponda na kuonesha kama hatuwezi kitu. Huu mradi ukifail ni aibu yetu sote
BRT imepunguza foleni? Sio kweli kabisa, kilichopunguza foleni (ambayo in real sense haijapungua) ni ujenzi wa zile feeders za udhamini wa DMDP na nyingine kwa mfano, ukienda Kimara kutokea posta na Mnazi mmoja unaweza kupita Kigogo, Mabibo mwisho, maji chumvi, unapanda juu kule kisukuru unafika Kimara kwa Daladala na sio BRT, huko BRT mmejaza Bajaj, gari ikipata breakdown foleni kama yoteUsiangalie miradi iliyofeli tu angalia na iliyofaulu hata hiyo BRT imepunguza foleni kwa kiasi kikubwa sana
Bonge la pointHawakandii SGR, ila wanaoisimamia ndiyo wanaushangaza umma, kwanini yanatokea hayo yanayotokea?
🙏Bonge la point
Inategemea NTU na NTU. Maana kila NTU na NTUWE..!!Utalombwa uraruke!
Hivi umeelewa hoja kweli?Asilimia kubwa ya wabongo ni wachawi mnaikandia sana SGR jifunzeni kupongeza hata kwa kidgo kinachofanywa na serikali.
Itakuwa uchawi tuBadala ya kubeba abiria ulitaka ibebe vifusi vya kokoto sio? Raisi keshasema lengo la serikali ni kutoa huduma kwa wananchi na sio kufanya biashara kwahiyo haijalishi serikali inatumia gharana kiasi gani muhimu huduma iliyokusudiwa ipatikane wabongo nuksi sana yaani mnarahisishiwa huduma ya usafiri mikoani bado mnapiga makelele kama sio uchawi ni nini?
ShadaIna majina mengi ngoja mi nikupe mawili tu
1. Acapulco
2. Marijuana
Hata hizo changamoto za BRT sidhani kama serikali imeshindwa kabisa kuzitatua ninaamini ipo mikakati inafanyika kuweka mambo sawa
tatizo la mbongo anataka akiamka asbhi akute Kila kitu kinaenda smoothly utafikiri Yuko peponiza uso
Iwapo tu hujawahi kuelemika! Walioellimika (siyo lazima wawe wamesoma) huwa hawafnyi hayaUmasikini ni laana aisee, ukiwa masikini ni lazima uwe mchawi, roho mbaya n.k