Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
- Thread starter
- #41
Mkuu unaruhusu vipi gari yako iendeshwe na mtu aliyelewa pombe kiasi hicho?Mmiliki ana kosa gani hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaruhusu vipi gari yako iendeshwe na mtu aliyelewa pombe kiasi hicho?Mmiliki ana kosa gani hapo?
😀😀Hiyo njia madereva wengi wanakuwaga njwiiii,kuna siku nlikuwa kwenye pikipiki njia hapo kwa mpemba,gari ilinifata ila nlitumia uzoefu mkubwa kumkwepa maana alikuwa ananifata,mwisho wa siku yeye aliishia kugonga pembeni
Nlimfata nkamkuta kalewa,ila nlimtia magumi ya kutosha
Ova
HahaaView attachment 2644634
If looks could kill….
Umeniwahi nami nilifikiria hivo baada ya kuona picha.Huyo likely ni mjeda au TISS. Ndo zao hizo. Hudhani wako invincible. Kuna mahali nilikaa kwa muda karibu na kambi ya jeshi matukio haya yalikuwa ya kawaida tu. Walikuwa wanaparamia nguzo za umeme kila leo halafu wakitoka wanaacha gari hapo wanatembea kwenda kambini kwa miguu. No discipline whatsoever!
Ndiyo maana hawajamtembezea vitasa. Huoni hata nyoa yake?Umeniwahi nami nilifikiria hivo baada ya kuona picha.
Bila shaka jamaa alikua anawapiga mkwara hapo, jamaa wakanywea.Ndiyo maana hawajamtembezea vitasa. Huoni hata nyoa yake?
Watu wa Dar, wala pweza na dagaa kambaKwamba raia nyote mmeshindwa kumpa kichapo huyo Kambakoche?