Mmiliki na Dereva wa gari yenye usajili T 546 DGV wachukuliwe hatua kali za Kisheria

Hiyo njia madereva wengi wanakuwaga njwiiii,kuna siku nlikuwa kwenye pikipiki njia hapo kwa mpemba,gari ilinifata ila nlitumia uzoefu mkubwa kumkwepa maana alikuwa ananifata,mwisho wa siku yeye aliishia kugonga pembeni
Nlimfata nkamkuta kalewa,ila nlimtia magumi ya kutosha

Ova
 
😀😀
 
Umeniwahi nami nilifikiria hivo baada ya kuona picha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…