AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 882
- 2,044
Pumzika mpambanaji Honorath Godfrey Makoi ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.
Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Evick lounge hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.
4. Alikuwa ameanza matengenezo ya bar ingine Swaswa Mpamaa sema kafariki kabla hajaimalizia.
Mdogo sana, wa mwaka 89
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.
Huwa anatembeaga na pesa kwenye gari, sijui kama zimesalimika
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Ameacha mchumba mmoja (Maria) akiwa na ujauzito wa miezi 7 na ilikuwa wanatarajia kufunga ndoa January 2025, pamoja na watoto wa wawili wa kike 3 na 7 (alizaa na mwanamke mwingine ambae hakufunga nae ndoa)
Coaster zaidi ya 20 tunausindikiza msiba pamoja na gari binafsi za wafanyakazi wake, ndugu zake, jamaa, marafiki pamoja na wafanyabiashara wenzake kutoka sehemu mbalimbali nchini.
Hapa tulikuwa Moshi, Hugo's bar kupumzika na kupata chochote, Tulifika Moshi saa 11 alfajiri, lakini kutokana na miiko ya kwao ilibidi tusubiri kupambazuke kabisa ili tuweze kupandisha juu Kibosho...mila za kwao.
Tulitoka na coaster kama 25 zote hizo kupandisha msibani
Hapa tumeshafika kwao Kibosho
Ilibidi tushuke kwenye magari ili tutembee pale juu kulia kwenye msiba maana watu walikuwa wengi sana na magari yalikuwa mengi na hayasogei kabisa.
Ila Wachaga 🙌🙌🙌 mbege ilikuwa ya kumwaga, bado bia bado nyama...aiseee.
Sema watu walilia sana...sana.
Vifo hivi, vina siri nyingi 🤐
Imagine God kaanza vurugu zote hizi za utajiri mwaka 2015
Primary 1999-2005
Secondary 2006-2009 (vipaji maalum)
Dereva wa waziri miaka 2, jeshi miaka 2.
Kapumzika mwaka mmoja kujipanga kimaisha....2014.
kuanza kushika pesa 2015 mpaka sasa 2024 anafariki
Vijana wengine mnakwama wapi?
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.
Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Evick lounge hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.
4. Alikuwa ameanza matengenezo ya bar ingine Swaswa Mpamaa sema kafariki kabla hajaimalizia.
Mdogo sana, wa mwaka 89
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.
Huwa anatembeaga na pesa kwenye gari, sijui kama zimesalimika
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Ameacha mchumba mmoja (Maria) akiwa na ujauzito wa miezi 7 na ilikuwa wanatarajia kufunga ndoa January 2025, pamoja na watoto wa wawili wa kike 3 na 7 (alizaa na mwanamke mwingine ambae hakufunga nae ndoa)
Coaster zaidi ya 20 tunausindikiza msiba pamoja na gari binafsi za wafanyakazi wake, ndugu zake, jamaa, marafiki pamoja na wafanyabiashara wenzake kutoka sehemu mbalimbali nchini.
Hapa tulikuwa Moshi, Hugo's bar kupumzika na kupata chochote, Tulifika Moshi saa 11 alfajiri, lakini kutokana na miiko ya kwao ilibidi tusubiri kupambazuke kabisa ili tuweze kupandisha juu Kibosho...mila za kwao.
Tulitoka na coaster kama 25 zote hizo kupandisha msibani
Hapa tumeshafika kwao Kibosho
Ilibidi tushuke kwenye magari ili tutembee pale juu kulia kwenye msiba maana watu walikuwa wengi sana na magari yalikuwa mengi na hayasogei kabisa.
Ila Wachaga 🙌🙌🙌 mbege ilikuwa ya kumwaga, bado bia bado nyama...aiseee.
Sema watu walilia sana...sana.
Vifo hivi, vina siri nyingi 🤐
Imagine God kaanza vurugu zote hizi za utajiri mwaka 2015
Primary 1999-2005
Secondary 2006-2009 (vipaji maalum)
Dereva wa waziri miaka 2, jeshi miaka 2.
Kapumzika mwaka mmoja kujipanga kimaisha....2014.
kuanza kushika pesa 2015 mpaka sasa 2024 anafariki
Vijana wengine mnakwama wapi?