kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,994
- 2,510
"wewe mbona unajifanya mshihishaji wa wa2? "every one has the right to decide"Yaani katika picha zake zote ndio umeweka hii akipiga mbege?!! 🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"wewe mbona unajifanya mshihishaji wa wa2? "every one has the right to decide"Yaani katika picha zake zote ndio umeweka hii akipiga mbege?!! 🤔
Chako ni chako ya siku nyingi kwa umri wake huyo sidhani kama ni mmiliki.. labda kama alikodishwaRip - hapo kinachofatia ni kugombania mali na mwisho chako ni chako itabaki jina hapa ndo tunajifunza success is about good management on top
Asante sana mpendwa.Umemtendea haki ndugu yako hapa JF. Tungekuwa na watu kama wewe ambao pamoja na kuwa hapa tunatumia ID zilizofichama, lakini ikitokea habari potofu kuhusu ndugu au kitu unachokifahamu unasimama kidete kama ulivyosimama, JF ingekuwa mali. Hongera sana
AlikodisjiwaChako ni chako ya siku nyingi kwa umri wake huyo sidhani kama ni mmiliki.. labda kama alikodishwa
Alikodishiwa hii ni mali ya familia ya wakina MamuyaChako ni chako ya siku nyingi kwa umri wake huyo sidhani kama ni mmiliki.. labda kama alikodishwa
Hao wanaitwa Maafisa burudaniMaofisa uuzaji wa miili watalia sana hapo dodoma
Very trueYani kuna mafanikio ya level fulani ukifikia na aina ya economic activities zako unazofanya unatakiwa ufanye maamuzi magumu ya kuacha kunywa pombe ya aina yoyote ili uweze kuepukana na maangamivu.
Seriously.
Ingependeza mno kusikia jamaa mmiliki wa baa lakini hanywi pombe kabisa !
Eti badala yake mnakuwa makomba nyie ?!
Ni hatari kwa uhai wenu.
Ukiwa timamu ni rahisi ku reason mambo mengi na kuchukua tahadhari.
Tujitakali.
Pia kujitahidi kuwa watu wa ibada
Tumche Mungu itasaidia kuepukana na mengi maana watu hatupendani,
Marafiki ni Watu wabaya sana anakuchekea mdomoni moyoni anajipiza kukuharibu maisha yako.
Ndugu halikadhalika ndio usiseme.
Mkuu watu wanaangalia unapesa tu na hawaangalii pesa imetokana na shughuli gani, Yani muuza unga, Jangili, muuza pombe, Mwizi wote hao wanaeshimika kwenye jamii kuliko Mwalimu, Muuza. Chipsi au Mama lishe na Mkulima.😂😂😂kweli upo sawa kichwani wewe? Huyo marehemu hafai kuigwa katika jamii sasa mtu anauza pombe na kumiliki danguro hivi kwa akili yako unaona ni mtu aliyekawa bora katika ustawi wa jamii kiujumla?wewe ni mkristo tatizo hapo kwa ushaamini Yesu kachukua dhambi za huyo aliyekataa kutii sheria za Mungu
Duh zaidi ya msiba.....sijui mamake ana hali gani sahivi....natamani kusema kitu ila acha mapenzi ya Mungu yatimie
Mama ataishi vizuri tu dogo kaacha ma apartment kibao nkuhungu,swaswa sasa mama ashindwe yeye tuDuh zaidi ya msiba.....sijui mamake ana hali gani sahivi....natamani kusema kitu ila acha mapenzi ya Mungu yatimie
Noma sana,Mama ataishi vizuri tu dogo kaacha ma apartment kibao nkuhungu,swaswa sasa mama ashindwe yeye tu