Rogart Ngaillo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 908
- 1,911
Naam mkuu alikua anamiliki Bar maarufu sana magomeni, na aliwahi kua mmiliki wa Bendi ya muziki FM. Academia) piaHuseein mmiliki wa Bar....Dah Allah amsamehe...
Kie Kie Kie mkuu acha tu!Dah....nimekula sana totoz hapo kwenye baa yake miaka ya 90.
Apumzike kwa Amani.
Embu acha unafiki hapa ! Wee mbona una mambo yako na wala haujiombei msamaha kwa Hugo imaginary father wako ?Huseein mmiliki wa Bar....Dah Allah amsamehe...
Dah! miaka hiyo bado sijafikiriwa kazaliwa aisee! apumzike kwa amanDah....nimekula sana totoz hapo kwenye baa yake miaka ya 90.
Apumzike kwa Amani.
Dah....nimekula sana totoz hapo kwenye baa yake miaka ya 90.
Apumzike kwa Amani.
Wewe mzee kweli unatisha!
2016-1992=24yrs
Umri wa kula totoz na uwapo mapene. 30-35.
i.e 35+24= 59 ish!
Kumbe na wewe ulikuwa mtu wa dada poa! Tena standard ya kwa macheni!!Dah....nimekula sana totoz hapo kwenye baa yake miaka ya 90.
Apumzike kwa Amani.
Aliyekuwa mmiliki wa baa maarufu ya Macheni iliyopo Magomeni jijini Dar es
Salaam, Hussein Macheni amefariki dunia leo baada ya kuanguka ghafla akiwa
nyumbani kwake Magomeni.
Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu ni kwamba Macheni alianguka ghafla majira ya
saa 3 asubuhi na kukimbizwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo iligundulika kuwa
tayari amefariki.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa Muhimbili kusubiri taratibu nyingine. Mwenyezi Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi. AMEN.
Chanzo : Global Publishers