Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii bar si iliyozaa jina la KWA MACHENI?Dah....nimekula sana totoz hapo kwenye baa yake miaka ya 90.
Apumzike kwa Amani.
Weweeee!!Bora wauza ng'anda wapungue mjini.
Embu acha unafiki hapa ! Wee mbona una mambo yako na wala haujiombei msamaha kwa Hugo imaginary father wako ?
Uwiiiiue uwiiiiiiie yeuwiiiiiiiiiiiu jamani uwiiiiiiiiiie yeuwiiiiiiiAliyekuwa mmiliki wa baa maarufu ya Macheni iliyopo Magomeni jijini Dar es
Salaam, Hussein Macheni amefariki dunia leo baada ya kuanguka ghafla akiwa
nyumbani kwake Magomeni.
Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu ni kwamba Macheni alianguka ghafla majira ya
saa 3 asubuhi na kukimbizwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo iligundulika kuwa
tayari amefariki.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa Muhimbili kusubiri taratibu nyingine. Mwenyezi Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi. AMEN.
Chanzo : Global Publishers
Kumbe na wewe ulikuwa mtu wa dada poa! Tena standard ya kwa macheni!!
Hahaha hahaha umenifanya nicheke jioni hii.Wewe mzee kweli unatisha!
2016-1992=24yrs
Umri wa kula totoz na uwapo mapene. 30-35.
i.e 35+24= 59 ish!
mwambie huyo hajuiK ni K tu wewe......
Wanafiki kama wewe siwapendiii, basi tu!!!Huseein mmiliki wa Bar....Dah Allah amsamehe...