TANZIA Mmiliki wa baa maarufu Magomeni, Hussein Macheni ameaga dunia ghafla nyumbani kwake

Leo ndio nmejua kwanini huyu D alikua anatoa elimu ya UKIMWI kwa nguvu sana, kumbe mambo yalianzia kwa macheni
Kwanini tunakumbushana vifo tukiwa usingizini?

Imenibidi nidamke nipige push ups mbili tatu ndo nirudi kwa bed.

Ziraili hatabiriki...
 
Papa Macheni, mzee wa madini, kijana wa da'salam.

Lala salama boss.
a
 
R.I.P mpambanaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…