TANZIA Mmiliki wa baa maarufu Magomeni, Hussein Macheni ameaga dunia ghafla nyumbani kwake

Maisha ya mwanadamu hapa duniani ni sawa na msafiri aliyepumzika kivulini huku akivuta muda wa kuendelea na safari yake.....
Vifo vya wapendwa wetu ni moja ya matukio yenye kuumiza lakini vinatakiwa vitupe fundisho kuwa duniani tunapita...wanadamu yatupaswa tuishi kwa upendo kwani hakuna ajuaye muda wala saa ya kunyakuliwa kwake.........

KWA HERI MACHENI MUUMBA AKUHIFADHI UNAPOSTAHILI.....
 
Uwiiiiue uwiiiiiiie yeuwiiiiiiiiiiiu jamani uwiiiiiiiiiie yeuwiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…