JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
"Ligi ilikuwa ngumu kwa sababu ilipaswa tushuke na ikiwezekana tupotee kabisa Duniani, Viongozi wa Bodi ya Ligi walikuwa wanahitaji sana hela hata tulivyokuwa ligi kuu nasikitika kuongea haya lakini hakuna namna , huku chini kuna uozo kuna watu pale Bodi ya ligi wameukamata huu mpira kama mali yao, 2021 ligi ilikuwa ngumu kwa sababu ilikuwa ni maelekezo lazima Gwambina ashushwe daraja,
Watu wanataka pesa kwa nguvu , tusipotowa pesa lazima tushuke zaidi, sisi hatukuweza kutoa pesa sababu hatukuwa na pesa , haiwezekani mimi niwalishe wachezaji , niwatibu niwasafirishe na wewe kiongozi nikulipe , kumbe chuki ilianza kwenye mechi za Simba na Yanga walikuwa wanalazimisha mechi tucheze CCM Kirumba wakati sisi tuna uwanja wetu, ulikuwa ni mpango wa kuiba mapato"- Alexander Mnyeti
Mmiliki wa Klabu ya Gwambina na Mbunge wa Jimbo la Misungwi akielezea sababu za wao kujitoa kwenye mashindano yote nchini.
Chanzo: Clouds FM
========
MAJIBU YA SHIRIKISHO LA SOKA TANZANIA (TFF)
Watu wanataka pesa kwa nguvu , tusipotowa pesa lazima tushuke zaidi, sisi hatukuweza kutoa pesa sababu hatukuwa na pesa , haiwezekani mimi niwalishe wachezaji , niwatibu niwasafirishe na wewe kiongozi nikulipe , kumbe chuki ilianza kwenye mechi za Simba na Yanga walikuwa wanalazimisha mechi tucheze CCM Kirumba wakati sisi tuna uwanja wetu, ulikuwa ni mpango wa kuiba mapato"- Alexander Mnyeti
Mmiliki wa Klabu ya Gwambina na Mbunge wa Jimbo la Misungwi akielezea sababu za wao kujitoa kwenye mashindano yote nchini.
Chanzo: Clouds FM
========
MAJIBU YA SHIRIKISHO LA SOKA TANZANIA (TFF)