Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Habari zenu pande ya Kenya?
Kama kuna mtu anajua mmiliki wa hili LORI amwambie dereva wake leo alitaka kuua watoto wa kwenye school bus maeneo ya Mizani ya Pongwe Tanga, Aliovateki kwenye kona kali.
Naomba akanywe next time asije pata hasara ya lori lake la gas kuchomwa moto na wananchi wenye hasira.
Asilete ukora wake wa Kenya huku Tz.
Asanteni.
Kama kuna mtu anajua mmiliki wa hili LORI amwambie dereva wake leo alitaka kuua watoto wa kwenye school bus maeneo ya Mizani ya Pongwe Tanga, Aliovateki kwenye kona kali.
Naomba akanywe next time asije pata hasara ya lori lake la gas kuchomwa moto na wananchi wenye hasira.
Asilete ukora wake wa Kenya huku Tz.
Asanteni.