Mbona povu unalipwa, hao ni wezi WA Mali za uma, ndio maana ushawai sikia mtu akioji Mali za Abood nkUmaskini utakuua
Mwigulu akimiliki wewe kinakuwasha nini?
Sifa ya mtu mwenye pepo la umaskini ni kushinda akiongelea matajiri negatively
Hapahitajiki nabii kukujua kuwa wewe lofa ambaye umepigika kimaisha choka mbaya wewe
Nenda kwa Mwamposya akalikemee hilo pepo lako la umaskini likutoke
Hekima yalikua ya CDF mtaafu wa miaka hiyoLupelo ni Watson Kihaka siyo Watson Kuhama
Tuwekee hapo wamiliki wa Hekima na Widambe
whos is a beneficial owner?Baada ya uzushi na upotoshaji wa muda mrefu, niliamua kuingia chimbo kutafuta ukweli wa nani ni mmliki wa Mabasi hayo.
Nimekuja na facts ambazo Kila mwenye akili timamu anaweza kuzipata mwenyewe maana zinapatikana Kila mahali.
Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury Buses ni Mtanzania Mwenzetu kijana Mpambanaji wa siku nyingi katika biashara ya Mabasi, anamiliki Mabasi aina mbalimbali zikiwemo basi hizi zilizokuwa zikihusishwa na Mwanasiasa mmoja hapa nchini.
Mmliki ni Ndugu Joseph Didas Ngeleuya, P.O. Box 71392, Dar es Salaam. 4463. Plot No. 746
Case Closed. Tuache kuzusha mambo.
Property By Joseph Didas Ngeleuya
View attachment 2459930View attachment 2459931View attachment 2459932View attachment 2459933
Wewe ni KiaziBaada ya uzushi na upotoshaji wa muda mrefu, niliamua kuingia chimbo kutafuta ukweli wa nani ni mmliki wa Mabasi hayo.
Nimekuja na facts ambazo Kila mwenye akili timamu anaweza kuzipata mwenyewe maana zinapatikana Kila mahali.
Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury Buses ni Mtanzania Mwenzetu kijana Mpambanaji wa siku nyingi katika biashara ya Mabasi, anamiliki Mabasi aina mbalimbali zikiwemo basi hizi zilizokuwa zikihusishwa na Mwanasiasa mmoja hapa nchini.
Mmliki ni Ndugu Joseph Didas Ngeleuya, P.O. Box 71392, Dar es Salaam. 4463. Plot No. 746
Case Closed. Tuache kuzusha mambo.
Property By Joseph Didas Ngeleuya
View attachment 2459930View attachment 2459931View attachment 2459932View attachment 2459933
Na Makete?Widambe alikuwa Michael Sanga Widambe
Mmiliki wa Makete Bus aliitwa Yohana Sanga ni Mjomba wake Jah people wa bungeniNa Makete?
Hakuna luxury bus Tanzania labda comfortable busesMmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury Buses
Alianza na baiskeliAlianza kumiliki bajaji namjua