TANZIA Mmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia Hospitali ya Aga Khan

Mmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia usiku wa kuamkia leo Agakhan Hospital. Rest in Peace tajiri wa Marangu

Kwani alikuwa hawezi kuhema na mbavu zilikuwa zina' mbana?
Yule mama aliyeko ICU ni mkewe? ambaye naye ana shida ya kupumua?
Watoto wake mbavu si zilisha achia?
 
Pole sn kwa familia. Ni changamoto gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…