Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaijua koona vzr?Unaijua Aga Khan vizuri,?
RipMmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia usiku wa kuamkia leo Agakhan Hospital. Rest in Peace tajiri wa Marangu
Duh..... Tusidanganyike, sisi 🇹🇿 tutatengwa na mataifa yote kwa kuwa tumeamua kuwa incubator wa CoronavirusNi changamoto ya upumuaji ama?
Hivi kila mfanyabiashara wa kichagga ni chadema[emoji848]
Watapona tu,,watoto wamepona, mke ndio naye anapambania uhai.
Naskia Nchi Nzima wamebaki wa-4 tu, huenda ni familia ya huyu Bosi Kubwa.
Sio mawazo finyu mkuu.Mawazo finyu
Unaijua koona vzr?
Usichokijua ni kuwa agha khan wanashindwa kesi nyingi mno, halafu wanazitupia muhimbili ili mgonjwa afie huko.Aga Khan ni high classic hata kama Mgonjwa ana corona atatibiwa Pale Pale wanavyumba vyao specila
Ebu funguka kidogo tukuelewe sasa mnavyoandika juujuu akati hapa jf wasomaji ni wengi basi bora mngechat WhatsApp tu.watoto wamepona, mke ndio naye anapambania uhai.
Naskia Nchi Nzima wamebaki wa-4 tu, huenda ni familia ya huyu Bosi Kubwa.
Inavyumba high classic kuliko nchi za kaskazini walipotenga special Hosp. za kuhudumia #covid19 patients?Aga Khan ni high classic hata kama Mgonjwa ana corona atatibiwa Pale Pale wanavyumba vyao specila