Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah hii mambo ya mbavu hii!!Kwani alikuwa hawezi kuhema na mbavu zilikuwa zina' mbana?
Yule mama aliyeko ICU ni mkewe? ambaye naye ana shida ya kupumua?
Watoto wake mbavu si zilisha achia?
Una maanisha marehemu alikua anakabana na covid kwa mwezi mzima?Of course amepigania maisha yake pale zaidi ya mwezi sasa
Signature yako😆Rest in peace
Chadema moto juu moto chini.
Acha kuandika kwa kejeliKwani alikuwa hawezi kuhema na mbavu zilikuwa zina' mbana?
Yule mama aliyeko ICU ni mkewe? ambaye naye ana shida ya kupumua?
Watoto wake mbavu si zilisha achia?
Magufuli hatakufa.Mwambie aelewe kifo ni kwa wote
Pole kwa familiaMmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia usiku wa kuamkia leo Agakhan Hospital. Rest in Peace tajiri wa Marangu
USIMKUFURU MUNGUMagufuli hatakufa.
Ndo wamechanganywa na wagonjwa wengine Agakhan?Kwani alikuwa hawezi kuhema na mbavu zilikuwa zina' mbana?
Yule mama aliyeko ICU ni mkewe? ambaye naye ana shida ya kupumua?
Watoto wake mbavu si zilisha achia?
Nisome katikati ya mistari.USIMKUFURU MUNGU
Wazoee tupresha za mikopo ya bank hizo..acheni kusingizia corona
Kwani sabufa kasema alikua anadaiwa shingapipresha za mikopo ya bank hizo..acheni kusingizia corona
Ndo wamechanganywa na wagonjwa wengine Agakhan?