Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimaanisha nini kamanda.Dah..tajiri wa paka mweusi kaenda aisee..
Zile basi zake wanaziita paka mweusi kwakua zina rangi nyeusi..ni hilo tu boss usiogope!Ukimaanisha nini kamanda.
Duuh nimekusoma mkuu,nikajua mambo yetu yale.Zile basi zake wanaziita paka mweusi kwakua zina rangi nyeusi..ni hilo tu boss usiogope!
Gone too soonMmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia usiku wa kuamkia leo Agakhan Hospital. Rest in Peace tajiri wa Marangu
Tunaaminishwa korona imeishe huku watu wanakufa Kama siafuwatoto wamepona, mke ndio naye anapambania uhai.
Naskia Nchi Nzima wamebaki wa-4 tu, huenda ni familia ya huyu Bosi Kubwa.
Presha za mikopo ya bank hizo. Acheni kusingizia corona.
Weka Ile avatar yako ya mwanzo ili tuwe tunakupiga za uso nyingi....!!!R.I.P na pole kwa familia. Mungu amponye mkewe walau aendeleze utajiri.
wana sehemu ya "watu wenye shida ya kupumua na kubanwa mbavu"Ndo wamechanganywa na wagonjwa wengine Agakhan?
Asante, ila Wachagga wazuri jamani, Loh!Poleni sana
Rip mjasiria mali wa mfano.Mmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia usiku wa kuamkia leo Agakhan Hospital. Rest in Peace tajiri wa Marangu
Haha 😆, Ni asili tu mkuu. Mtu wa kanda hiyo hata akiwa black kuna uwezekano mkubwa mtoto wake kuwa whiteAsante, ila Wachagga wazuri jamani, Loh!
Sisi kanda zingine tulikosea wapi?
anaitwa MAX MOSHIRip mjasiria mali wa mfano.
Watu wana matatizo, huyu mrehemu akiitwa nani?
Alikuwa anakaa wapi?
Ana mabasi mangapi?
Na je tuna kitu gani cha kujifunza kwake?
Hivi ndivyo tunatakiwa kumuenzi mtu ambaye ni mfano chanya katika jamii.
Ndo maana mi sina fyucha[emoji57][emoji57]Humu duniani kila kitu ni ubatili mtupu yaani ni kujilisha upepo tu.
R.I.P tajiri
Tupe complete resume tafadhali.anaitwa MAX MOSHI
MCHAGGA WA MARANGU .
aliamua kuanza biashara ya Magari kumuenzi Baba yake aliykuwa na Mabasi miaka ya 1970 huko Marangu
Nini kimekatisha uhai wake?anaitwa MAX MOSHI
MCHAGGA WA MARANGU .
kuzaliwa 1977
Shule :Chuo Kikuu Birmigham Uingereza
Huyo binti pembeni ni wake alikuwa anaolewa.
ana Mabasi 12 ya Marangu coach,
Ana biashara zingine za usafirishaji Marekani,
Ni tajiri wa Kipato cha Kati, hayupo kwa matajiri wakubwa.
aliamua kuanza biashara ya Magari kumuenzi Baba yake aliykuwa na Mabasi miaka ya 1970 huko Marangu