Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Labda alitaka Marehemu aandikwe jinaMbona taarifa imekamilika au unataka atoe za uongo ndo uridhike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda alitaka Marehemu aandikwe jinaMbona taarifa imekamilika au unataka atoe za uongo ndo uridhike
Kumbe kuwa White ndio uzuri?Haha [emoji38], Ni asili tu mkuu. Mtu wa kanda hiyo hata akiwa black kuna uwezekano mkubwa mtoto wake kuwa white
R.I.P BOSSMmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia usiku wa kuamkia leo Agakhan Hospital. Rest in Peace tajiri wa Marangu
Utadhani wanafamalia wa marehemu,hata jina hujataja?Habari iko nusu nusu mnaandika kama mnakimbizwa
[emoji1][emoji1]usiache kufanya fyucha aisee unaweza kujikuta unagonga 90+ ukawa ni bibi wa kulaumu tu watoto na wajukuu ati hawakujali.
Wengi tunapenda mwanamke awe white, Kama wewe hupendi basi hilo ni chaguo lako mkuu.Kumbe kuwa White ndio uzuri?
Binti bado yupo sec mkuu hyo ilikuwa siku ya harusi ya ndugu, bt bint na hyo kaka yake bado wako sec ingawa shule yao wanatumia silabus ya majuu.anaitwa MAX MOSHI
MCHAGGA WA MARANGU .
kuzaliwa 1977
Shule :Chuo Kikuu Birmigham Uingereza
Huyo binti pembeni ni wake alikuwa anaolewa.
ana Mabasi 12 ya Marangu coach,
Ana biashara zingine za usafirishaji Marekani,
Ni tajiri wa Kipato cha Kati, hayupo kwa matajiri wakubwa.
aliamua kuanza biashara ya Magari kumuenzi Baba yake aliykuwa na Mabasi miaka ya 1970 huko Marangu
Yaonekana unawafaham kwa ukaribu mkuu, Mungu ampe pumziko jema, watoto wake ni nechi na necha.anaitwa MAX MOSHI
MCHAGGA WA MARANGU .
kuzaliwa 1977
Shule :Chuo Kikuu Birmigham Uingereza
Huyo binti pembeni ni wake alikuwa anaolewa.
ana Mabasi 12 ya Marangu coach,
Ana biashara zingine za usafirishaji Marekani,
Ni tajiri wa Kipato cha Kati, hayupo kwa matajiri wakubwa.
aliamua kuanza biashara ya Magari kumuenzi Baba yake aliykuwa na Mabasi miaka ya 1970 huko Marangu
Unaposema paka mweusi unamaanisha nini!?Dah..tajiri wa paka mweusi kaenda aisee..
Mtoto mrembo kinoma tunaweza kuwahi tukapata jiko pale....Binti bado yupo sec mkuu hyo ilikuwa siku ya harusi ya ndugu, bt bint na hyo kaka yake bado wako sec ingawa shule yao wanatumia silabus ya majuu.
Kwa anavyolichukulia poa hili janga? Acha nisiseme kwa sasa.Magufuli hatakufa.
Heri mimi sijasema.Wakuu ebu tuwe wazi hv korona ipo ama imekwisha mm nipo katikati sielewi kabisa!!?
Corona ipo mkuu, endelea kuchukua tahadhaliWakuu ebu tuwe wazi hv korona ipo ama imekwisha mm nipo katikati sielewi kabisa!!?
Kwani jamaa kataja rangi?Haha [emoji38], Ni asili tu mkuu. Mtu wa kanda hiyo hata akiwa black kuna uwezekano mkubwa mtoto wake kuwa white
Wengi au "pushers"!?Wengi tunapenda mwanamke awe white, Kama wewe hupendi basi hilo ni chaguo lako mkuu.