momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,013
- 2,089
Kuna code zingine zandani sana hawezi kuzing'amua kwa haraka. Ametafsiri maneno kama yalivyo bila kuyafunua.Nisome katikati ya mistari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna code zingine zandani sana hawezi kuzing'amua kwa haraka. Ametafsiri maneno kama yalivyo bila kuyafunua.Nisome katikati ya mistari.
Sawa kwako mwanamke mzuri yupoje?.Suala la mimi kutopenda umelitoa wapi?
Mali ulzotafuta kwa jasho lako, zinageuka laana kwa kizazi chako kilichobakiKweli kabisa kanjibai
Jamani napenda kupanda haya mabasi yana huduma nzuri sana.Poleni sana
Poleni bwashee!changamoto za upumuaji bado zimetamalaki
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] kweli mkuu hata sio utani[emoji1][emoji1]usiache kufanya fyucha aisee unaweza kujikuta unagonga 90+ ukawa ni bibi wa kulaumu tu watoto na wajukuu ati hawakujali.
Maisha mapya baada ya haya!! Asante bossKuna tumaini ng'ambo ya kaburi heri walalao katika tumaini la Bwana wetu Yesu Kristo maana atakaporudi mara ya pili atawafufua kwanza ktk miili isiyoharibika tena
Bwana awafariji familia ndugu jamaa na marafiki kwa kuondokewa na mpendwa wao, pole nyingi sana kwao.
KweliApumzike kwa Amani. utajiri wa kweli uko kaburini ameondoka na ndoto yake. Dunia sio sehemu ya kuishi milele nafasi tuliyonayo tuitumie vyema.
Yupo kama wengine tuSawa kwako mwanamke mzuri yupoje?.
Haya Ni maswali au Ni taarifa inatolewa??Kwani alikuwa hawezi kuhema na mbavu zilikuwa zina' mbana?
Yule mama aliyeko ICU ni mkewe? ambaye naye ana shida ya kupumua?
Watoto wake mbavu si zilisha achia?
Mmhh wewe sio mchaga kweli??Asante, ila Wachagga wazuri jamani, Loh!
Sisi kanda zingine tulikosea wapi?
Mchepuko wa baba umesema wamebaki wagonjwa 4 tu!Wakuu ebu tuwe wazi hv korona ipo ama imekwisha mm nipo katikati sielewi kabisa!!?
Mmhh wewe sio mchaga kweli??
Duh...!Kwani alikuwa hawezi kuhema na mbavu zilikuwa zina' mbana?
Yule mama aliyeko ICU ni mkewe? ambaye naye ana shida ya kupumua?
Watoto wake mbavu si zilisha achia?
Kapicha kabasi mkuuZile basi zake wanaziita paka mweusi kwakua zina rangi nyeusi..ni hilo tu boss usiogope!