TANZIA Mmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia Hospitali ya Aga Khan

TANZIA Mmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia Hospitali ya Aga Khan

Kuna tumaini ng'ambo ya kaburi heri walalao katika tumaini la Bwana wetu Yesu Kristo maana atakaporudi mara ya pili atawafufua kwanza ktk miili isiyoharibika tena

Bwana awafariji familia ndugu jamaa na marafiki kwa kuondokewa na mpendwa wao, pole nyingi sana kwao.
Maisha mapya baada ya haya!! Asante boss
 
Kwani alikuwa hawezi kuhema na mbavu zilikuwa zina' mbana?
Yule mama aliyeko ICU ni mkewe? ambaye naye ana shida ya kupumua?
Watoto wake mbavu si zilisha achia?
Haya Ni maswali au Ni taarifa inatolewa??
 
Kwani alikuwa hawezi kuhema na mbavu zilikuwa zina' mbana?
Yule mama aliyeko ICU ni mkewe? ambaye naye ana shida ya kupumua?
Watoto wake mbavu si zilisha achia?
Duh...!
Paskali ooh sory Nguvu.
 
Back
Top Bottom