and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Kwa maana nyingine biashara Yao inazidi miaka 100?Hapana maana yake wako kwenye hiyo biashara ya since enzi hizo Mzee wake James Moshi alivyokua na hayo magari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maana nyingine biashara Yao inazidi miaka 100?Hapana maana yake wako kwenye hiyo biashara ya since enzi hizo Mzee wake James Moshi alivyokua na hayo magari
Kindo kyako mmbeHapana maana yake wako kwenye hiyo biashara ya since enzi hizo Mzee wake James Moshi alivyokua na hayo magari
Ungekuwa unamjua usingeamini kama kafa mtu watu mtia imani watu alikuwa hakati tamaa kwa kile alichokiamini yaani ardhi inameza uzuri wake uliendana na Moyo wakeHuyu jamaa anafariki kila siku?
Familia yao iko kwenye biashara hiyo ya magari kwa hicho kipind chote....Kwa maana nyingine biashara Yao inazidi miaka 100?
Jikinge ndugucorona ipo tujikinge
kipind hadi 2015 au??Familia yao iko kwenye biashara hiyo ya magari kwa hicho kipind chote....
Amefariki lini?Aisee Mkewe naye amefariki
nimeona Post yao leo kwenye page ya instagram lakini ni kama tangu ijumaa au jumamosi iliyopita/siku 5 zimepitaAmefariki lini?
Kati ya jana(Sina hakika sana), wamesitisha safari zao mpaka Jmosi keshokutwa wako kwenye maombolezo.Amefariki lini?
Tumesikia huyo mama alishafarikiTango pori
Hapana ni juzi tu si muda mrefu kama ilivyokuwa ikisemekanahapo awaliTumesikia huyo mama alishafariki
AseeHapana ni juzi tu si muda mrefu kama ilivyokuwa ikisemekanahapo awali
Mungu mwemaTumesikia huyo mama alishafariki
Ni kweli alifariki ama yupo hai! tujuze miss chaggaMungu mwema
Yah alifariki on 29th August mama kapumzika acha tu yaniNi kweli alifariki ama yupo hai! tujuze miss chagga
Duuh poleni....Yah alifariki on 29th August mama kapumzika acha tu yani
Tutapoa tuDuuh poleni....