TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) afariki

TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) afariki

Ndio alioa Ila hakubahatika kupata mtoto na mwanamke alieoa... Ndoa yao ina miaka kama saba hivii.. Namjua ni jiran yangu imeniuma sana na namkumbuka.. Kwn nishaoshaga sana magari hayo nikiwa primary.
 
Vile vibox vya wababu wa lindoni Raha sana ni chwichwi tayari unasepa, Hilo pampula Hadi ulinywee alkasusu shida yote ya Nini?
 
Ndio alioa Ila hakubahatika kupata mtoto na mwanamke alieoa... Ndoa yao ina miaka kama saba hivii.. Namjua ni jiran yangu imeniuma sana na namkumbuka.. Kwn nishaoshaga sana magari hayo nikiwa primary.
Msalimie sele wa mchali hoteli
 
Back
Top Bottom