Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana chief....
Uzi wa msiba lakini una maswali na majibu ya kuchekesha kinyamaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukifa kabla ya 100 yrs umeonewa?
Nyie jamaa mafalaa sanaaNani aliwahi kukusimulia mateso anayopata ukivuka umri huo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanini unasikitika yeye kufariki akiwa na miaka 47?
Wewe hujasoma mwana familia alichosema??? Huko gest ulimpeleka wew??Pole sana chief....
japo naona ukakasi ni mwingi...
hv amefia kwenye parking ya magari akiwa ndani ya gari yake guest ...ama ndani ya chumba cha guest....!!?
Hayo madawa ya kienyeji maafande watajuaje kama ni busta!!?Dah KAKUTWA NA MADAWA YA KIENYEJI NAHISI KABOOST KYPITILIZA POLISI WANAZIFANYIA KAZI NAWAZA TU ZINAPOISHIA
Wewe ukiambiwa kweli ni busta unaelewa maana yake??Hayo madawa ya kienyeji maafande watajuaje kama ni busta!!?
najalibu kuwaza !?
Ww hujaona taarifa ya polisi??Wewe hujasoma mwana familia alichosema??? Huko gest ulimpeleka wew??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww hujaona taarifa ya polisi??
alafu hapa nimeuliza swali kiazi ww
Kumbe nawe ni wa nyumbani sioKabisa Asee Natamani Kujuwa Chanzo Cha Umauti Wake
Nilikuwa Mteja Mkubwa wa Sahara Line
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok,Sahara zikija kufa wamilimani tutapata tabu sana
Na GhendewaKumbe nawe ni wa nyumbani sio