Mafuta us kampuma
Member
- May 1, 2017
- 56
- 43
Wanauhakika gani kua amekufa ilhali hawajaona mwili wala mabaki ya mwili, yawezekana amefichwa sehemu na wasiojulikana wanamtatua rinda moja baada ya lingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh bora ungepitiliza tu usingetia neno[emoji196] na si lazima usemeDuuuhhh itakuwa kati ya kisasi cha biashara au mambo ya kuchukuliana wanawake lazima.. Mmmmmhh
Bado sijaelewa, mabaki ya mwili hayajakutwa na wamekiri hilo lakini 'amefariki' mwili uko wapi?View attachment 708766View attachment 708767![]()
View attachment 708768
Mmiliki wa mabasi ya Super Sami, Samson Josiah maarufu kama Super Sami au mmiliki wa mabasi ya Super Sami amefariki. Ni baada takribani wiki mbili zilizopita alikuwa hapatikani hewani wala kujulikana alipo. Amekutwa amekufa Serengeti na gari lake limechomwa moto.
========
Mmiliki wa mabasi ya Super Sami, Samson Josiah ametoweka kwa zaidi wiki mbili sasa gari lake aina ya Toyota Landcruizer kukutwa likiwa limechomwa moto katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti mkoani Mara.
Gari hilo lililokutwa likitumiwa na mfanyabiashara huyo ambaye ni mkazi wa Mwanza, lilikutwa katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti mkoani Mara jana likiwa limeteketea kwa moto.
Ofisi habari wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi (Taboa), Mustapha Mwalongo, aliiambia Nipashe kwa njia ya simu kuwa mfanyabiashara huyo licha ya gari lake kukutwa limeteketea moto, hawakukuta mabaki ya mwili wake.
"Gari lake limeteketea kweli lakini hatujabaini mwili kama na yeye alikuwa kwenye gari lile kwa sababu waliofika eneo la tukio hawajakuta mwili au mabaki ya mwili ya aina yeyote", alisema Mwalongo.
Alisema baada ya mmiliki huyo wa mabasi kutoweka tangu Machi Mosi, Kamati iliundwa ya kufuatilia sababu za kutoweka kwake na wapi alipo ambayo inashirikiana na familia.
"Kamati ilipopata taarifa kuwa kuna gari limeteketea kule Serengeti, walishirikiana na Jeshi la Polisi kwenda hadi eneo la tukio na kubaini kweli ni gari lake lakini hawajabaini kama alikuwepo mle wakati linachomwa", alisema Mwalongo.
Serengeti pana fisi wengi sana na hakuna mfupa umshindao fisiBado sijaelewa, mabaki ya mwili hayajakutwa na wamekiri hilo lakini 'amefariki' mwili uko wapi?
Hawali mifupa iliyoungua mkuu!Serengeti pana fisi wengi sana na hakuna mfupa umshindao fisi
Duuuhhh itakuwa kati ya kisasi cha biashara au mambo ya kuchukuliana wanawake lazima.. Mmmmmhh
Mmiliki wa mabasi ya Super Sami, Samson Josiah maarufu kama Super Sami au mmiliki wa mabasi ya Super Sami amefariki. Ni baada takribani wiki mbili zilizopita alikuwa hapatikani hewani wala kujulikana alipo. Amekutwa amekufa Serengeti na gari lake limechomwa moto.
========
"Kamati ilipopata taarifa kuwa kuna gari limeteketea kule Serengeti, walishirikiana na Jeshi la Polisi kwenda hadi eneo la tukio na kubaini kweli ni gari lake lakini hawajabaini kama alikuwepo mle wakati linachomwa", alisema Mwalongo.
Hahahah! Mkuu, najua Polisi wetu ni vilaza, lakini sio kiasi hicho.Nna je walicheki chasis/engine namba kujua kwamba gari ni lake? Au wamejuaje?
Hata mm nimeshangaa wamepata uhakika gani km amekufa iwapo hawajakuta maiti yake.Siajelewa. Amekufa au gari lake ndio limekutwa limekufa (limechomwa)? Maana katika hii thread sijaona mahali wanasema wamekuta mwili au mabaki yake, sasa amekufa kivipi.
huna akili kabisaDuuuhhh itakuwa kati ya kisasi cha biashara au mambo ya kuchukuliana wanawake lazima.. Mmmmmhh
Umeandika makande tuu huku sasa umekuaje kafa wakati una andika mwili haujakutwa eneo la tukio copy an pest hiziView attachment 708766View attachment 708767![]()
View attachment 708768
Mmiliki wa mabasi ya Super Sami, Samson Josiah maarufu kama Super Sami au mmiliki wa mabasi ya Super Sami amefariki. Ni baada takribani wiki mbili zilizopita alikuwa hapatikani hewani wala kujulikana alipo. Amekutwa amekufa Serengeti na gari lake limechomwa moto.
========
Mmiliki wa mabasi ya Super Sami, Samson Josiah ametoweka kwa zaidi wiki mbili sasa gari lake aina ya Toyota Landcruizer kukutwa likiwa limechomwa moto katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti mkoani Mara.
Gari hilo lililokutwa likitumiwa na mfanyabiashara huyo ambaye ni mkazi wa Mwanza, lilikutwa katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti mkoani Mara jana likiwa limeteketea kwa moto.
Ofisi habari wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi (Taboa), Mustapha Mwalongo, aliiambia Nipashe kwa njia ya simu kuwa mfanyabiashara huyo licha ya gari lake kukutwa limeteketea moto, hawakukuta mabaki ya mwili wake.
"Gari lake limeteketea kweli lakini hatujabaini mwili kama na yeye alikuwa kwenye gari lile kwa sababu waliofika eneo la tukio hawajakuta mwili au mabaki ya mwili ya aina yeyote", alisema Mwalongo.
Alisema baada ya mmiliki huyo wa mabasi kutoweka tangu Machi Mosi, Kamati iliundwa ya kufuatilia sababu za kutoweka kwake na wapi alipo ambayo inashirikiana na familia.
"Kamati ilipopata taarifa kuwa kuna gari limeteketea kule Serengeti, walishirikiana na Jeshi la Polisi kwenda hadi eneo la tukio na kubaini kweli ni gari lake lakini hawajabaini kama alikuwepo mle wakati linachomwa", alisema Mwalongo.
Uelewa wako finyu. Hapo kuna taarifa mbili tofauti ni kama vile mfululizo wa UPDATES, angalia kwa makini. Ila taarifa ya kwanza ndo hakika kwani mwili wake umepatikana kwenye mto Ndabaka, Serengeti unaelea ukiwa umewekwa kwenye mfuko wa Sandarusi.Umeandika makande tuu huku sasa umekuaje kafa wakati una andika mwili haujakutwa eneo la tukio copy an pest hizi
Upo sahihi kabisa.Inawezekana kuna watu wanataka kurithi mabasi kabla ya muda kufika, wakaona wamuwahishe, kama ana ndugu ndugu ambao wanaonekana viherehere kwenye hayo mabasi kuliko hata familia yake mwenyewe wachunguzwe hao ndugu. Pia washindani wa kibiashara wachunguzwe, pia vimada na waume wa vimada wote wachunguzwe