Mmiliki wa mabasi ya Super Sami atoweka, gari lake lachomwa moto Serengeti

Mmiliki wa mabasi ya Super Sami atoweka, gari lake lachomwa moto Serengeti

Gari lichomwe ad kuteketea tena kwenye hifadhi bila askar Wa wanyama pori kugundua wala kutouona moshi!?

Alafu wanajisifu kwa kupambana na majangili.

Mungu hailaze mahali pema roho ya marehem.
Wewe huujui ukubwa wa serengeti
 
mleta mada mbona anatuchanganya! mbona wafuatiliaji wanasema hawajaona mwili wake ?!( rejea post namba moja)
 
Hakuna uthibitisho kama kweli kauwawa kwa kuwa mabaki yake hayajapatikana huwenda kahifadhiwa pahara uchunguzi wa kina unahitajika kupata majibu ama akiwa hai au akiwa mfu
 
View attachment 708766View attachment 708767
28870378_2061738970509399_5210459689955317991_n.jpg

View attachment 708768

Mmiliki wa mabasi ya Super Sami, Samson Josiah maarufu kama Super Sami au mmiliki wa mabasi ya Super Sami amefariki. Ni baada takribani wiki mbili zilizopita alikuwa hapatikani hewani wala kujulikana alipo. Amekutwa amekufa Serengeti na gari lake limechomwa moto.

========

Mmiliki wa mabasi ya Super Sami, Samson Josiah ametoweka kwa zaidi wiki mbili sasa gari lake aina ya Toyota Landcruizer kukutwa likiwa limechomwa moto katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti mkoani Mara.

Gari hilo lililokutwa likitumiwa na mfanyabiashara huyo ambaye ni mkazi wa Mwanza, lilikutwa katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti mkoani Mara jana likiwa limeteketea kwa moto.

Ofisi habari wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi (Taboa), Mustapha Mwalongo, aliiambia Nipashe kwa njia ya simu kuwa mfanyabiashara huyo licha ya gari lake kukutwa limeteketea moto, hawakukuta mabaki ya mwili wake.

"Gari lake limeteketea kweli lakini hatujabaini mwili kama na yeye alikuwa kwenye gari lile kwa sababu waliofika eneo la tukio hawajakuta mwili au mabaki ya mwili ya aina yeyote", alisema Mwalongo.

Alisema baada ya mmiliki huyo wa mabasi kutoweka tangu Machi Mosi, Kamati iliundwa ya kufuatilia sababu za kutoweka kwake na wapi alipo ambayo inashirikiana na familia.

"Kamati ilipopata taarifa kuwa kuna gari limeteketea kule Serengeti, walishirikiana na Jeshi la Polisi kwenda hadi eneo la tukio na kubaini kweli ni gari lake lakini hawajabaini kama alikuwepo mle wakati linachomwa", alisema Mwalongo.
Laiti kama angetupwa baharini waziri wetu angelisema si mtanzania.
 
Nasikia kuna watu wanaanza kusingizia eti alikuwa anasapoti upinzani akapewa onyo lakini hakusikia.Kuna jamaa anaitwa kwinyara ametupia huko kwenye mitandao mingine.Sasa sijui ni kweli?
 
Back
Top Bottom